Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wakuu... Mm Nina tecno phantom A+,IPO in good condition...bado mpyaaa #nakupa na all tx accessories, km kuna m2 ana cmu nzuri ambayo haina matatizo na angependa 2badilishane anaweza kuniPM
0 Reactions
4 Replies
931 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu, H. UNIT ONLINE BUSINESS imefanya research na kugundua kua watu wengi wana matatizo ya laptop! Mfano mdogo tu spika nyingi za laptop hua zinatoa chenga lakin...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari gani wakuu? Nimewaletea habari njema! Nauza viwanja KIgamboni eneo la Mwasonga ambalo liko baada ya Dsm Zoo. Eneo ni zuri sana, maji yako karibu, panafaa kwa ufugaji wa samaki, kuku...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kiwanja kinauzwa kipo KIVULE manispaa ya ilala,bei maelewano jamani mwenyewe ana matatizo ya hela kwani anadaiwa mkopo hajalipa hivyo anaomba kama kuna mtu anataka kiwanja kipo sehemu ya tambarare
0 Reactions
1 Replies
1K Views
helps to fade discoloration under the arm and other sensitive areas. Extra strength formula helps to prevent unpleasant body odor smell and retain the natural conditions of the skin, highly...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Habari za majukumu waungwana, Natumai sote ni wazima na tunaendelea vema na uwajibikaji wa kila siku. Kuna asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka Tabora, inapatikana Dar es salaam kwa wingi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei zetu ni nafuu kulinganisha na huduma tunayotoa Mawasiliano 0713 603699 email: info@legacytz.com website: .:LEGACY TANZANIA:. Blog:Legacy Impresion
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Sebule na masterbedroom,mita mia mbili kutoka barabara morogoro road,umeme na maji vipo.Bei ni 100000 kwa mwezi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niliwahi kuweka post kuwa nauza Gari aina ya Mercedes Benz, bahati mbaya nilikuwa nje ya mtandao na sikuwa napata sms. Bado ipo naiuza kwa Tsh. 3'800'000/= namba zake T.....AVU IMETEMBEA KM elf...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
NYUMBA ZINAUZWA, Nyumba iliyokamilika ipo mbezi mwisho bei maelewano. nyumba nyingine haijakamilika ipo mbezi malamba mawili ina foundationi ya ghorofa moja,kiwanja robo tatu naomba unipigie...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HTC one for sale in the bok 600000only unachkua mzigo
0 Reactions
2 Replies
819 Views
wadau nauza hio simu iko ndani ya box yake haina tatizo lolote bei poa 420000 only. pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja boko au bunju kiwe kama square metre 1000 na kisiwe zaidi ya mile moja kutoka bagamoyo road. Naomba kwa anayejua bei ni kama kiasi gani?
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa bei ya 345k. Mwenye kuhitaji ni pm then ntakupa contacts zangu tufanye bizness. Simu ni original(made in Korea),imetumika kiasi na ipo ktk hali nzuri. Ina internal...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nauza simu iko ndani ya box yake ni sony Xperia z bei 720 hii simu ni Water Resistant pm for more details..welcome all
0 Reactions
9 Replies
1K Views
galaxy ace inauzwa bei rahisi 190000 bei haipungui iko katika hali nzuri..haina scratch..imatuma kidogo tu.pm for details
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Kwa yeyote mwenye mtambo wa kuprint t shirt naomba ajitokeze hapa tuangalie uwezekano wa kufanya biashara,n haraka sana wakuuuu nataka iwe leo makubaliano kesho kazi ianze. Nawasilisha wakuuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, nawaletea machine ya kunyolea.. used kitambo, ipo inapiga mzigo fresh,inahitaji minor service kama kuwekewa mafuta na kukazwa nati.. bei 35k 0787 40 8180
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninapatikana mikocheni "A" wasiliana nasi kwa sim no 0719891518 ulizia kwa richard au bwana mifugo, mnakaribishwa sana asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samsung laptop Ram 3gb prosecer 2gb harddisc380 gb bei sh.550000
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom