Ni iPad one ina leather cover original, ina 3G na WiFi hivyo unaweza tumia line ya simu kupata mtandao. Iko vizuri. Inafaa sana hasa kwa wale watu walio busy na everywhere walipo wako kikazi...
banda linauzwa mbagala kiburugwa mtaa wa juhudi banda lina vyumba vitano na sehemu kidogo yenye mita kadhaa.. Banda lipo kwenye mtaa unaopitika kwa gari. Bei ni mili 17 mawasiliano 0656251874...
Nauza gari aina ya toyota noah.cc 1990 ya mwaka 2004.latest model.rangi silver.aliye na nia apige simu no 0717585877.ni gari nzuri toleo la mwanzo.bei 10 m.
Ni gorofa moja Ina 2 master bedroom na 1 room na public toilet. Big sitting, dinning na kitchen Ina fensi unaweza park magari hata 4. Pia Ina garden na kisima kilicho unganishwa maji.iko...
Natafuta Laptop iliyo katika hali nzuri sana, processor core i3 au zaidi. Budget 500,000/= malipo leo leo kama mzigo upo vizuri. 0716-904626, nipo Arusha!!
SIMU TAJWA HAPO JUU INAUZWA 160,000 NI NZIMA NA INAFANYA KAZI VYEMA.
TATIZO NI VOLUME BATANI YA KUPUNGUZIA SAUTI NI NGUMU KUPUNGUZA NA BETRI YAKE HAIKAI NA CHAJI.
MAWASILIANO: 0787577755...
Helicobacter pylori (H. pylori ) ni bakteria ambao husababisha uvimbe sugu( gastritis ) ndani ya tumbo la binadamu . Bakteria hawa huchukuliwa kama visababishi vya kawaida vya vidonda vya tumbo...
Hi! Watch that fantastic lifestyle investment that am doing, you
can also do it, actually am looking for five serious people who
competent, dedicated and highly motivated worth proven skills in...
Wakuu!
jumatano nilikata ticket ya FastJet toka Mwanza kwenda Dar ya kusafiri siku ya kesho asubuhi tarehe 10.03.2014 ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimecancel safari hiyo na...
GENERAL
3G Network HSDPA 850 / 1900 / 2100 - SIM 1 only
HSDPA 900 / 1900 / 2100 - SIM 1 only
BODY Dimensions 143.5 x 76.9 x 9.6 mm (5.65 x 3.03 x 0.38 in)
Weight 162 g (5.71 oz)
DISPLAY...
Wakuu naitaji kitabu kinaitwa MYLES TEXT BOOK FOR MIDWIVES edition ya 16 kimeandikwa na MAGRET MYLES kwa mwenye nacho au anayejua ndugu yake aliye nacho hasa wahuguzi au vyuo vya nursing anitafute...
Kwa mwenye Toyota Noah ambayo iko kwenye hali nzuri ani PM na hakikisha unaweka picha na full détail zake hapa kwanza.budget yangu 7million tu. sory hii nikwa wausika tu kuwa siliasi ndugu...
Gari aina ya Toyota carina inauzwa, bei ni Tshs 5.5m. Imetembea km 140,000,well maintaned, and full service history, one owner tangia iagizwe toka Japan.Automatic transmission. For serious buyer...
Natumaini mu wazima wa afya..kichwa cha habari knajieleza...nauza mashamba nnazo ekari 10 nauza milioni tano kwa kila ekari yapo kimbiji km 8 kutoka baharini yapo karibu na hekalu la mwarabu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.