Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
naomba fahamishwa wapi nitapata taa za mbele, za nyuma, medgadi na boneti vya Nissan x trail ya 2002. naomba bei zake pia. unaweza ni PM kwa maelezo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau salaam..ninauza Toyota Mark X mpya nimeitoa bandarini ijumaa kwa milioni 18 tu...ni ya mwaka 2006..automatic na rangi ni crystal white...namba zangu ni 0659300000..karibuni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
shamba la kahawa lenye ukubwa wa ekari 20 likiwa na nyumba ndani yake linauzwa. Lipo wilayani mbozi kando mwa barabara ya kutoka mbeya kwenda tunduma-zambia. Lina hati miliki hai na lina mikahawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Shamba eka 15 linauzwa Bagamoyo. Lipo km 12 toka B/moyo mjini. Bei 35m. mazungumzo yapo. MAWASILIANO: 0714426130
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, kwa madalali na wenye nyumba, kinahitajika chumba cha kupanga Maeneo ya mwananyamala kwa kopa hadi hospitali. Kiwe self contained, maji na umeme ni muhimu, vikiwa vya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu.nyumba ina vyumba vitano vya kulala, choo, jiko n.k.hipo tabata garage dakika 5kutoka main road (mandela road). Nataka milioni mia nne (400,000,000/).nicheki...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nahitaji nipate web yenye matangazo ya magari ambayo yapo hapahapa bongo. Kama una yadi na una official website pia itakuwa vizuri. au kama una stock ya magari unaweza nitumia list na bei zake...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza tecno m3 125000.unapewa vitu vyote. Na 3g internet.internal memo 2gb extrnal 8gb.anayetaka ani pm.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Shamba la takriban eka 15 linauzwa Bagamoyo. Liko kilomita 12 toka Bagamoyo mjini. Bei yake ni 37 milioni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
niuzie moja ya aina hizo za simu kama unayo na unauza offer yangu ni laki moja mawasiliano 0769782386
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Toyota Cresta GX100 Year: 2000 Km: 121,000 Engine capacity: 1988cc Very good condition working well Full a/c Radio AM/FM CD player Autolocking system Bei 4.8mil pungufu tunaongea!! 0716398757...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kiwanja kwa wakazi wa dar es salaam kipo kibamba ukubwa 20 kwa 20 mazingira mazuri milioni mbili tu for serias people pls tuwasiliane
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji mini laptops na laptops. iwe angalau na HDD 250GB na kuendelea RAM 1GB na kuendelea speed. 2.5 na kuendelea nitafurahi kama nitapata accer, Samsung, hp, asus, betri iwe...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
kwa mawasiliano zaidi namba ni 0787046890 au 0754660061
0 Reactions
0 Replies
870 Views
jipatie modem ya vodacom kwa shlng 30000 ikiwa na 5GB ya bure kwa mwezi mzima utapata na chip ya vodacom bure kabisa na utaletewa popote ulipo ndani ya jiji la dar es salaam kwa maalezo zaida...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Gari aina ya Noah old model shs 100,000/= linakodishwa kama una hitaji cal me 0714064767 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Rice Cooker moja Nzuri Original Kutoka Europe kwa sh. 63000. Iko Kigamboni kwa anaeihitaji ani PM namba yake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa kipo kongowe - kilungule bei ni nafuu sana. VIPIMO VYAKE NI HIVI HAPA:- MASHARIKI - futi 89 MAGHARIBI - futi 77 KASKAZINI - futi 62 KUSINI -futi 8 NI KIKUBWA SANA KWA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza canon printer fx10 Bei shs 150000.
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Used photocopy machine inauzwa.
0 Reactions
5 Replies
746 Views
Back
Top Bottom