Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza Rice Cooker Nzuri Original Kutoka Europe kwa sh. 63000. Iko Kigamboni kwa anaeihitaji ani PM namba yake.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanajukwaa natafuta note 1 iliyokatika hali nzuri...0764731318
0 Reactions
0 Replies
511 Views
Toyota rav 4 mwaka 2002 km 65000 rangi pale white engine vvti serious customers only call 0768570703/whatsap
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Light natural honey sellers, tunakupatia asali asili(orginal) kwa bei reasonable kabisa,ukiwa arusha tunakuletea ulipo kwa wateja wa mikoani tutakutumia kwa gharama zako. piga simu 0769 53 43 83...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26 elimu kidato cha sita . Kwa heshma kubwa naomba kutangaza rasmi kuwa natafuta mke wa kuoa umri miaka 18 hadi 20 .nipo pasias kwa mawasiliano piga 0683406167...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wale ambao hamjabadilisha masaa yenu mliyoyaingiza mwezi wa December 2013 kupitia mradi wa Perfect App kwenda kwenye Cash na hamjui jinsi gani mfanye hivyo, fuatilieni nini cha kufanya hapa...
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Toyota Passo, Cc 990, Piston 3,2004, 7,500,000.,Shampeni color. Maongezi yapo. Cont: 0718268969
0 Reactions
0 Replies
815 Views
HP 530 HDD 160 Core 2 duo RAM 2GB Win 7 bei 250k Mazungumzo yapo. Nataka nunua Desktop kwa ajili ya office. kazikijana1@gmail.com 0713 338342
0 Reactions
5 Replies
928 Views
habarini, Oven kubwa inahitajika kwa ajili ya bakery iwe used au mpya, Inayotumia gas ndio kipaumbele.bei tutaelewana kutokana na ubora wake na idadi ya plates (1 ...).
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF,Kama kichwa cha thread kinavyosema hapo juu,msaada unahitajika nina shida na kias cha 10mil za haraka na nataka niweke kama bondi gari yangu pamoja na kadi yake,Nitakuwa narejesha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani mtu yoyote mwenye uzoefu na hizi kazi ..nahitaji kuprint t-shirt kama 20 aila tunaanza na kumi 1.nipo dar 2.toa bei ili nifanye comparison 3.t-shirt kwa ajili ya chama 3.angalau onesha...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
nadesign mabag ya laptop na mikoba kwa kutumia vitenge,anayehitaji anipm
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Kama una friji iko katika hali nzuri,just give me a call tufanye biashara Seriuos Sellers ni PM
0 Reactions
4 Replies
871 Views
Hi, Tunatoa msaada wa kufanya matengenezo na kurepair Computers Desktop, Laptops, Printers, Scanners, Photocopier machines na machine zote ya electronics kwa bei nafuu sana. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Bado ipo katika hali nzuri kwa kutumia. Mwenye kuhitaji anitafute kwa 0713218388.
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Habari zenu wana JF.Namtafuta mtu afanyaye katika kampuni inayohusika na clearing and forwading,mtu huyo naomba ani PM.Muwe na siku njema
0 Reactions
2 Replies
980 Views
chumba na sebule kiwe na choo cha kujitegemea kinahitajika dodoma! mtaa wowote, ila tu uwe wa kistaarabu. mwenye nacho ani pm tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni chumba na baraza, na choo na bafu lako binafsi na jiko la ku share.nyumba ipo ndani ya gate na ina maji na mazingira ya kuridhisha sana.kodi kwa mwezi ni 180,000/-, utalipa kwa miezi sita sita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kipo makazi mapya mlandizi kina ukubwa wa ekari 1, bei milioni 1.5 piga au text 0769142586
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Back
Top Bottom