Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Bei 120,000/= haina tatizo lolote :A S thumbs_up: ila cover linaonekana kuchoka kidogo:focus:
0 Reactions
1 Replies
782 Views
Kwa wale wanaopenda kutengenezewa business card kwa bei chee 100pcs kwa 10,000/=tu, card za mialiko, Typing & Printing
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Nauza toyota carina TI bei 6.3m, imetembea km 45,506 tu,cc 1480 very economic in fuel consumptions, well maintained na imelipiwa vibali vyote pamoja na bima,if ur interested just check me 0784...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nipo mbeya nahitaji makochi ma3 au mawili ya sofa.kwa bei za maelewano, kama wewe ni fundi au unamfaham fundi mzuri nitumie sms kwa namba 0653297890.
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wadau natafuta msichana anayefahamu vizuri kazi ya saloon, kama kuseti, kushonea, na kusuka. saloon ipo machi bo jeti wa maeneo ya jirani watapewa kipaumbele zaid. 0769206292
0 Reactions
0 Replies
924 Views
0713 338342 Bei haishuki zaidi ya hapo Boxed
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF kwa mara nyingine ninapendakuwaarifu uwepo wa mashamba - zaidi ya eka 40 katika kijiji tajwa hapo juu. Kwanaopenda wawasiliane na mimi na nitawaunganisha na wanakijiji wenzangu wenye...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
ps2 inauzwa!! ina pad zake mbili na inatumia flash only na tv pia ipo!!! jumla bei n 240000 kama uko tayar no yangu 0654434509 nko dodoma!!!!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
wapi nitapata spare parts za hizi makitu wazee.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
anipim mwenye kuuza line ya tgopesa ambaye hataki kuendelea na bznes nimeambiwa huku ni lazima ntapata
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Shamba linauzwa lipo kibaha misugusugua karibu na roneka sec school. Lina ukubwa wa eka 4. Bei ni million 12 maongezi yapo. Tuwasiliane kwa 0713653233
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Well maintained and good condition , Golf GTi, Manual ,Cc 2000, 5doors, Year2001, Petrol, kilometre140,000. BVA, NO Accident. Million6.8. cont: 0718268969 SOLD.SOLD.SOLD
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Salaam zenu wana jf.Naomba kuuliza kuhusu hizi gari pajero,kuhusu ubora wake,speare zake bei mbaya? Pia kama zina matatizo ya kudumu kam gear box au head gasket.Nitashukuru maoni yenu has kwa wale...
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Nauza line yangu ya tigopesa kwa tsh 1M. Only seriouse buyer- ni PM.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja kinauza maeneo ya Mbweni Mpiji jirani na Hospitali ya Mbweni na Eneo la Masista. Kiwanja kipo barabarani kimepimwa tayari na kina hati safi. Ukubwa wake ni mita 988 za mraba. Kwa watakao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni kwa wafugaji wote na wauzaji wa kuku, Nimepata kupost tena hapa jukwaani kuwa nahitaji kuku wa Nyama. . .bado ninahitaji na ninanunua kila kuku kwa bei ya sh 6000 ila kuna vigezo navyo ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nahitaji housing ya computer aina ya fujitsu kwa wenye kuweza kupata tuwasiliane 0783446626 tujuzane bei
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Kwa wale wa mtwara natengeneza furniture kwa ubunifu na ubora kwa bei nafuu uaminifu wa kutosha! tuwasiliane 0689268202
0 Reactions
17 Replies
9K Views
naitaji shamba nipo dar liwe la bei nafuu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari jf nahitaji hichi kifaa nipo mbeya kiwe kwenye hali nzuli. mwenye nacho ajitokeze tufanye biashara
0 Reactions
6 Replies
840 Views
Back
Top Bottom