Kuna rafiki yangu alinituma Blackberry ya Kisasa yaani Blackberry Z10 kutoka marekani. Baada ya kufika Dar, akaanza story nyingine kwamba nimpe kwanza simu kisha atanipa hela baada ya wiki moja...
Kichwa cha habari kinahusika, nina desktop 21inch flat screen hiko full nauza kwa laki tano tu (500,000),dell.!SIMU BADO ZINAPATIKANA SAMSUNG GALAXY S3 KWA LAKI 5(500,000),TECNO PHANTOM KWA LAKI...
Habari wana JF,
Kampuni yetu inajishughulisha na uuzaji wa vitabu vya kielektroniki (ebooks) kwa bei nafuu 10,000/= TO 20,000/=. Tuna vitabu vya aina mbalimbali kwenye 'fields' tofauti kama...
Ziko na Km ndogo zote zinafaa kwa matumizi ya private au kifamilia. Siwezi weka details za kila gari hapa so wee piga tu kupata bei na details zake.
0716398757
Brevis
Rav4
Nissan Xtrail
Subaru...
Kwa yeyote atakaekuwa na deki original ya DVD na options za aina yote deki amabayo haichagui awasiliane nami nataka kununua ila bei lazima akubaliane na mimi ambayo ni 30000 kwa yeyote mwenye nayo...
Nauza sim tajwa hapo juu,,ni mpya kabisa ndani ya box...inatumia line 2
and white in colour.if you will be interested please send a PM
picha zimenishinda ku upload hapa.
bei 750,000/=
karibuni
Habari wandugu,kama kuna mtu yeyote anaweza niuzia friji dogo kabisa...ajitokeze.
ni kwa ajiri ya matumizi binafsi ya kinyumbani.
utaratibu.
1.nitajie spesfication zake
2.umelitumia muda gani...
Nauza pikipiki HONDA rangi nyekundu kwa sh 1.8M,imetumika miezi 8 tu.picha imegoma kudownload kwenye uzi huu ila mwenye hitaji ani PM na kunitumia email adress yake nimtumie picha.
Simu tajwa hapo juu ikiwa impya kabisa na vifaa vyake vyote inauzwa..
Bei ninayouza::115000
Bei ya Mlimani City::155000
0765050591
Ina whatsApp,opera mini,etc..
Unapata na Memory Card 4GB...
Nimeongeza simu, nauza htc desire hd a9191 kwa laki 3(300,000/),still tecno phantom f7 300,000/ na samsung galaxy s3 500,000/ zinapatikana.zipo katika hali nzuri kabisa. 0714 411041/0756...
Habari wana jf,Husika na kichwa cha habari hapo juu,Nauza Samsung gallaxy s3 original kwa laki tano na nusu tu ( 550,000/),Tecno phantom A+ or f7 kwa laki nne (400,000/)tu na tecno l3 kwa laki na...
biashara biashara biashara ya kuku wa kienyeji: Habari za majukumu waungwana, natumai tunaendelea na ujenzi wa taifa km kawaida, nina kuku wa kienyeji, majogoo zaidi ya 80, wanauzwa wakiwa wazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.