Nauza simu
Phone:0713637186
Aina:HTC EVO 3D
Bei:Tsh.400,000
Mahali:kinondoni dsm
Muonekano:Simu ni used unapatiwa na charge tuu pia muonekano wake siyo mbaya saana inamichubuko kidogo
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
Ina 3GB internal
3G Network
Applications zote za muhimu zinakubali
Whatsapp
Instagram
JamiiForums
Viber malizia
Bei 150,000
0716398757
Picha hazijatoka vizuri ila simu ya ukweli.
Ni mpya original. Nokia 2330-2 v 09.85 11-03-10 rm-512 (c) Nokia variant: 00.00 virtual variant: no virtual variant
Language
v 09.85 11-03-10 rm 512 (c) Nokia ssa.
jipatie kwa punguzo kubwa la bie.
nauza kamera canon 500d ina pixel 14 . inashuti video fully hd na kupiga picha za mnato (still picture) kama unahitaji nicheki tuongee biashara bei ni poa kabisa 0782213161
kiwanja kinauzwa kipo bagamoyo keep left ya bagamoyo - msata road, ni m 100 Toka barabara ya lami ya kwenda msata kina mita za mraba 3360(square meter) na kina hati. Bei maelewano. Kwa mawasiliano...
nauza kamera canon 500d ina pixel 14 . inashuti video fully hd na kupiga picha za mnato (still picture) kama unahitaji nicheki tuongee biashara bei ni poa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.