Hi JF,
Narudi tena hapa jamani kuomba kuelekezwa sehemu kwa Mwanza ambapo nitapata haya magodoro laini alimaarufu kama magodoro ya sufi. Nadhani wakuu haya magodoro mtakua mnayajua ingawa maduka...
Wadau natafuta mtu anikoposhe kiboko water tank 10000 Lts nifanye biashara ya kuuza maji maana huku kwetu inalipa. Nitamlipa ndani ya miezi 10. Kama upo tayari tuwasiliane. 0718412041
Habari,
kuna mtu ana dharura ameomba nimekee hili Tangazo.
Anauza:
1. - Microwave aina ya SAMSUNG, ilinunuliwa mpya dukani imetuka kama miezi mitatu tu.
- Bei ni Tshs 150,000/=
2. -...
Samsung galaxy tab 1 kwa bei poa tu 365000 imetumika 2 months only, pia kuna blackberry bold 9780 kwa 165000 imetumika 3 months only, zote ni original phones call 0687 108905
Tangu nmemaliza chuo maisha magumu hata nmeamua kuuza PROJECTOR Nijikimu.aina yake ni ACER na ina muda mrefu iko poa kabisa.kwa anayeweza kuihitaji tafadhali Contact, 0718247575 nisaidieni jaman...
Nahitaji GX100 1G kwa kubadilishana na hii Suzuki Wagon R. Ina CC 660, Manual transmission. AC ipo safi japo sasa gesi imeisha. Km 145,000 mpaka sasa hivi ninapoandika uzi huu., milango minne...
Wana jf Kwema? Kuna local TV mpya inaonekana kupitia star times. Inaonekana huenda ikawa nzuri. Kwa sasa HIV inapatikana free. Je kuna mtu anayejua zaidi kuhusiana NA Hii TV?
Ukubwa sq meter 600 .kina hati, maeneo ya kihonda, huduma za kijamii zipo. Umbali toka barabara kuu dodoma km 2. Map plan ipo. Bei mil 7 mazungumzo yapo. Nipigie 0756171831, 0715500248.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.