habari wana jamii samahani naomba kuuliza kwa anayefahamu kuwa king'amizi gani ni kizuri kati ya ZUKU na DSTV nahitaji ninunue au kama kuna vingine ambavyo vi vizuri plz naombeni msaada wenu
wana forum salam za mwaka mpya kwangu nimuuanza kwa kuibiwa
nimeibiwa ipad ilikuwa na information muhimu sana kwa yoyote atakaye fanikisha kuipata zawadi nono itatolewa . wizi umetokea jtano...
nyumba iko barabara ya kwenda mpigi magohe MBEZI MWISHO ipo karibu na shule ya yatima bethsaida
sifa za nyumba
kiwanja ukubwa 35x40
master bedroom 1
rooms za kawaida 3
private toilet 1
public...
Heshima wanajamvi,
Kwa wale wanaopenda sport Bike kwa ajili ya motocross / Enduro etc
Used bike ipo ktk hali nzuri insurance na reg card vyote vipo.
Bei tshs 4 M. bike ipo Moshi.
JOANA DIGITAL PRINTING
Tunapatikana Survey (Mlalakuwa),Barabara ya Chuo Kikuu Na Brajec Pub
Tunatoa Huduma Ya Printing Kwa Bei Nafuu Kabisa, Tunaprint Karatasi Za Aina Zote Ikiwemo
Karatasi Maalum...
Badilisha kwenda kwenye pesa mdawako unaoutumia kwenye mitandao unayoipendelea ambayo haikulipi kwa kupakua Appya bure kwenye computer yako au kwenye simu yako ya mkononi na kuwaalika watuwengine...
Wananchi kiwanja kipo Moro eneo la kihonda, ukubwa wa mita sp 600, kina hati, huduma za jamii zipo. Barabara hadi pale. Bei 7mil kama una nia piga 0715500248, 0756171831
Viwanja vinauzwa vipo Kibaha mjini kata ya Pangani vinauzwa 4000 sh kwa square meter vinaanzia 20 kwa 20 na hadi vya 20 kwa 43 kwa 30.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba hizi 0754/0715...
Wadau salaam...nauza Nissan Terrano ya mwaka 98 mayai na rangi dark blue automatic inayotumia petroli...ina miezi kama 2 tangu niimport kutoja japan...bei ni 12 millions..Kwa maulizo yoyote kuwa...
NYUMBA IPO ENEO ZURI NA PANAFAA KWA LODGE ZAMANI ILIKUWA INATUMIKA KAMA CHUO
NYUMBA IPO KARIBU NA KITUO CHA DALADALA KWA REMMY HATUA CHACHE TOKA KITUONI NEARLY 100METRE TOKA SHEKILENGO ROAD...
Wana JF wenzangu,
Leo nimeamua kuwapa habari njema kabisa katika uvumbuzi niliokuja nao... (Well Sija invent kitu hapa).
Tunaweza Kutumia Mtandao wa YOUTUBE (Thanks to google) kujikomboa na...
Taswira soko la kimataifa la samaki Ferry
DOTTO: NIMEJENGA, NASOMESHA KWA KAZI YA KUKAANGA SAMAKI FERRY
Ni eneo ambalo limetanda moshi mzito ukiambatana na moshi wa sigara, kutoka kwa baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.