Habari zenu wakuu,
Ninamtafuta Richard Mushi mchaga wa Kibosho. Alisoma degree ya Uchumi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuhitimu mwaka 1996. Baadaye nilikutana naye kikazi akiwa Morogoro kwa...
MS TCDC is pleased to announce short courses and academic programmes for enhancing
individual and organisational effectiveness for improved public service delivery in Sub Saharan Africa.
Our...
Habari waungwana nauza simu nokia x2-01 ni original haijatumika sana na wala cyo mbovu,sijawahi kuipeleka kwa fundi,ina whatsapp,twitter,facebook,badoo n.k bei ni 60,000 kwa atakaye hitaji ntampa...
Wana jamvi mimi ni fundi mzuri wa umeme wa majumbani na viwandani natafuta kazi ya umeme popote ilipo ninao uzoefu na umahiri mkubwa wa kutosha have been working in this field more than ten years...
Shamba linauzwa eka 7 lipo kibaha kwa matiasi njia panda kwenda jeshini km2 kutoka barabara morogoro umeme upo na maji pia.bei maelewano tuwasiliane 0655145070
Habari ya jioni waungwana. NINATAFUTA kampuni inayonunua vigae ..yaani chupa zilizopasuka,vioo vya milango n.k, nina tani kama 20 hivi, nilifanya biashara hii yakukusanya hivyo vigae bila kuwa na...
Beach Plot for SALE
Plot size 5800 square metres(2.2 hectares)
Location: Kunduchi Bahari Beach, near silver sand hotel & Bahari Beach Hotel
Its a beach front plot
Asking price is 1.2 USD...
Naombeni ushauri,nitapata wapi kiwanja cha bei nafuu??mimi niko Dar es salaam
Je inawezekana kupata kiwanja cha TZS 2M?Kina ukubwa gani?
Mwenye taarifa anijulishe.
Wadau mwenye kupenda kuwekeza katika kilimo basi anunue shamba ekari 1000 zinazouzwa kwa shs 120,000 kwa ekari katika kijiji cha Isanga wilaya ya Momba mkoani Mbeya piga 0762246322
Wana forum napenda kuwajulisha kuwa sasa Mashudu ya UBUYU yanapatikana kwa wingi tupo Dodoma mjini. Kwa anaehitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0766550881/0754047033
wakuu kama kuna mtu mwenye desktop za kizaman naomba aniuzie kwa bei nafuu, ma pia mwenye flat screen nanunua kwa bei nafuu, mwenye bidhaa hizo hapo ani PM tufanye biashara.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.