Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
mwenye hyo cm anitafute tufanye biashara...ya fasta. Ni pm
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Inauzwa HITACH PROJECTOR (model: XT-1S) Notevision, imetokea USA. Lamp span yake imetumika kwa 10%. Accesories zake: Power Cable, VGA and USB cable connection, Remote Control, Case. Book and CD...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Heri ya Mwaka mpya JF. Nipo Mwanza. Naomba mwenye uzoefu na biashara ya simu toka Nairobi. Nataka kufanya biashara hii sina mtaji mkubwa ila nataka kuanzia hicho nilichonacho. Ikiwezekana nijue...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
wana JF baada ya kuwepo kwa vingamuzi vingi nchini sasa nahitaji hki cha azam nikijaribishe naomba kwa wenye kujua vinapatikana wap maeneo ya Mbez-temboni kimara au maeneo jirani siihitaji kwenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini watanzania? Nataka kuanza mwaka na SmartPhone hii, used. Nicheki tufanye biashara kwa bei hiyo. Nipo dar; Argently
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Ipo mtaa Buswelu "b" nyashosha fika kwa derva Brumo muulize akuelekeze mmiliki ndugu Juma Mwamsaga(mgosi) ni jirani na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Ilemela jijini Mwanza.ni ya block mpya muundo wa L...
0 Reactions
3 Replies
945 Views
Nina NGO yangu inaitwa Changamoto Youth Development Organization,bado ni changa hivyo nahitaji msaada wa kupata wafadhiri watakao nisaidia kuiendeleza,najua wadau wa Jf wapo wanamiliki NGOs na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
uhuru poultry Farm, is a very fast and growing company located in kimbiji, kigamboni - DSM 35 km from state house (ikulu).... Anahitajika marketier (sales and marketing manager/officer ) mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za mwaka mpya wa jf. Natafuta nyumba au jengo lilokuwa shule kwa ajili ya kuanzia shule ya Awali na Msingi. iwe jijini Dar. +255753-810857
0 Reactions
1 Replies
904 Views
kiutu uzma zaid nikupe used tecno m3 matata mpya but imetumika 5 months 2gb internal memory 8gb external memory.... android version 4.2.2 rang nyeupe ... USB cable+cover bei 100000 tu na risit...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gari ipo fresh sana hasa kwa safar ndefu, Ina km chini ya 100000 Bei 20mil maongezi yapo Serious buyers tutafutane 0716398757
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza shamba eka 3 mbele ya kibada (mwera) karibu na kinapojengwa chuo cha VETA. 30m prospective investors are invited, call 065936359
0 Reactions
9 Replies
2K Views
cmu ipo katika hali nzuri haina tatzo lolote bei sh110000 kwa anaehtaj 2wasiliane kuptia0754758760
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Nina samsung galaxy note 2,Sio ya kichina!Ina kila kitu bei laki 8(800,000/=)Nina tatizo la pesa ndio sababu ya kufikiria kuuza.Nipo dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo upande wa bahari,dakika 10 kutoka barabara kubwa. Umeme upo jirani,mitaa imejipanga vizuri kwa ramani. Kimepimwa, kipo flat. Mwenye nacho ni mimi hakuna dalali. P.M ukitaka maelezo zaidi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tecno L3, Android Jelly Bean & faster downloads on 3G Jump to: » Features » Technical spec » Video Tecno...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ni kampuni imesajiliwa, inajisusisha na business za bidhaa na consultancy services. Tunaweza kutafuta na kusupply kwa mteja bidhaa yoyote halali, popote tz, sisi tupo mby mjini, usihangaike tupe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habari JF Nyumba inapangishwa ni servant quarter - 1 room, toilet, small sitting room - bei maelewano. inafaa kwa mtu asiye na familia, wanafunzi na wenye kazi za muda. kama uko serios ni PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta LED monitor kuanzia inch 20, brand yoyote iwe na port za HDMI na DVI. Weka na bei
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heavy Duty Skeleton Trailer, ROR Axle,Drum Brake, Air Buster, SuperSingle Tyres, Zimelipiwa Full Ushuru, Zimepigwa Rangi, Zipo tayari kwa Kazi, Hazijafanya Kazi Tanzania, Kwa Mawasiliano zaidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom