Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza nokia E5 bei 180 ina internal memory 8gb iko ktk hali nzuri na betri inakaa na charge kuanzia cku 2 tu.
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Nna sh 400,000/= cash natafuta mini laptop kwa mwenye nayo anipe specs zake pia battery life inamata. Kwa muuzaji aliepo dar au arusha pls!! Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu,kama tangazo linavojieleza. 0765050591
0 Reactions
22 Replies
2K Views
wakuu bajet yngu ni sh 100,000 mwenye hzo simu...ani pm tufanye business.
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Natarajia kukabidhiwa apartment yangu kwenye maghorofa mapya ya ubungo NHC sometime in January 2014, nyumba ina two bed rooms, choo, bafu, sebule na Jiko IPO FIRST FLOOR nyumba ipo kwenye PRIME...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wataalamu wa urembaji wa magari,ikiwa ni pamoja na kufunga radio{music system uipendayo}ufungaji wa alarm,orijino seat cover,sports rim na mengine mengi.tunapatikana lumumba jijini dar es salaam...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Condition: Used Seller Notes: imported from USA Brand: ASUS Processor Speed: 1.8 GHz Model: VivoBook X202E-DH31T Graphics Processing Type: Integrated/On-Board Graphics MPN...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Wakuu, Nahitaji desktop CPU na nina 200,000/= tu, mwenye nayo aseme specifications zake hapa na isiwe old model, haihitajiki kwa haraka sana lakini kabla ya tr 5 jan nitakuwa nimeshailipia...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Jipatie blackberry torch BRACKBERRY TORCH 9800 price: 250,000 full specification check link: BlackBerry Torch 9800 - Full phone specifications USED BUT IN GOOD CONDITION mobile: 0716 471365...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kinahitajika kiwanja kisicho na tatizo lolote morogoro municipal maeneo ya barabara ya Dodoma au dar!! Mwenye nacho ni Pm!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HP Compaq 6200 Pro Microtower Mpya with ; Features: Processor Manufacturer: Intel Processor Type: Core i3 Memory: 4 GB Hard Drive Capacity: 500 GB DVD-Writer Operating...
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Jipatie HP Photosmart C7280 kwa bei poa, Ina print picha zenye ubora wa hali ya juu kwa kutumia wino wa nje hvyo faida kwako ni 99.9%. Ni pm au piga simu 0754626616 kwa maelezo zaidi tupo Arusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza nokia x202 kwa anae htaji 2wasiliane bei maelewano samquidill@ovi.com au 0754758760
0 Reactions
0 Replies
692 Views
wapi naweza pata "mabelo" ya mitumba kwa dar?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Overview: Nyumba ina vyumba vitatu, sebule,kitchen, verandah servant's quarter. Vyumba viwili vikiwa self-contained and air conditioned. Ina uzio na parking ya kutosha gari nne, garden...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hTc one SV naiuza ipo kwenye excellent condition ni yangu nina matatizo kidogo ndo maana nauza, MEMORY Card slot microSD, up to 32 GB Internal 8 GB, 1 GB RAM CAMERA Primary 5 MP...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza samsung gallaxy note 2 kwa laki nane(800,000/=),mwezi mmoja toka nimeinunua!Hiko full kila kitu mpaka receipt yake.NIPO DAR(0756587175)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tuzipendekeze biashara zilizopo kwenye maeneo yetu zenye bidhaa na huduma bora kama maduka, mahoteli, kumbi za starehe, hospitali, shule, vyuo, Sanaa za mikono, n.k. ili ziweze kupata matangazo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji moja ya gari hizo. Iwe ktk hali nzuri ndani, nje na injini. Si zaidi ya milage 110,000. Iwe imelipiwa insurance na motorvehicle. Iwe halali si magumashi. Isiwe na accident history. Isiwe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hi wanajf .Nina salon ya kike huku Moshi , kama kuna mtu anauza urembo na vipodozi tuwasiliane Ili tuweze Kufanya biashara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom