online store website for sale,inaitwa http://
bongostore.blogspot.com/
bongostore.blogspot.com,il a unaweza kuredirect this
sub domain to your purchased domain name,website
ina features...
viwanja ambavyo vipo karibu na bandari bagamoyo maeneo ya kitopeni vinauzwa kwa Matumizi Tofauti kwa mfano ku invest, makazi... n.k,
kila square meter moja ni shilingi elfu nane na vimepimwa pia...
Unaweza kupata website kama hii chini kwa Tsh 500,000 tu
usambaratours.co.tz
Features.
Any CMS (you choose, Blogger, Wordpress, Joomla, Drupal, DotNuke)
Custom made (sio kutoka template...
Habari wanajf! Nahitaji kusajki kampuni yangu ambayo itakuwa ni limited company, hivyo kutokana na usumbufu wa pale Brela naomba msaada kwa mzoefu wa masuala hayo. Note kwa yoyote utakaejitokeza...
HELLOW GUYS, any one with and selling a medium sized laptop (in terms of capacity and perfomance) for just daily skul tasks.... just PM available budget is 250K
[*=center]Kiwanja cha sqm 1,481 kinauzwakipo: Geza ulole kigamboni
umbali: 17km kutoka feri ya kigamboni
ni viwanja vipya vya mladi kimepimwa na kina offer
kinafikika kwa urahishi
Bei ni...
kiwanja kinauzwa, kipo Wilaya ya Temeke , mkoa wa Dar es Salaam.
ni umbali wa km 40 toka feri ya magogoni ,kina ukubwa wa sqm 1,383 kimepimwa , hati na offer bado hazijatoka , bei ni Tsh. 10m...
wakuu samahani sana mwenye blackberry ili mradi isiwe 8520, nnakupa simu mpya ya kisasa ya TECNO T611 ina internet ya fast, nakupa elf 30 cash, bei ya hiyo tecno kko 70, mwenge 80 aliyetayari...
haya sasa mwaka 2014 ndio huoooo...kama unahitaji kalenda saafi yenye jina au picha yako au ofisi yako...nipigie fasta 0789 698 698..ndani ya masaa machache unapata kopi yako fasta ths 5000/= kwa...
Napenda kutangazabiashara yangu ya vipodozi kwa jumla, kwa wakazi wa njia ya Dar. me natokea Zambia nitakufikishia mzigo Ofisini kwako kwa Bei ya Jumla. Endapo utapenda kufanya biashara Na mm...
Mm bwana richard nmeibiwa simu yangu aina ni galaxy S 2 19000 leo asbuh maeneo ya ufundi kurasin. Naomben msaada wenu wa kimawazo km mtawez kuniambia nn cha kufanya.
Habari,
Natafuta Full furnished apartment (Two rooms self contained) kwa ajili kufikia nitakapokuwa Tanzania kwa kipindi cha mwezi mmoja hadi miwili kati ya August/ September,2014.
Apartment iwe...
Mteja wangu anahitaji vifaa vya gym used kama unavyo vifaa au kifaa ni Pm ukinitajia aina ya kifaa status yake bei yake. Mwenye complete set itakuwa vizuri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.