Wakuu habarini za leo...tunauza vitunguu, Red Bombay vizuri tu, vipo ghalani barabarani kabisa; jirani na Wami Dakawa-Mvomero, Morogoro.
0715 389 633 au 0784 389 633
gonga link hii kwa maelezo...
Mistubishi Pajero io inauzwa kwa bei ya Tsh.11 milioni. Gari iko kwenye hali nzuri sana na inafanyiwa service mara kwa mara.Na aneyeitumia ni mwanamama. Its a make 2000 ; 1850 cc Mileage...
pata software itakayokusaidia
kupangilia CV yako katika mfumo
wa
kuvutia na wa waki-digitali pia
software hii ina video mbalimbali
ambazo zitakusaidia katika
kujiandaa
na maswali mbalimbali ya...
Kama kichwa cha habari kinavyo someka hapo juu plot yenye ukubwa wa mita 12 kwa 15 inauzwa kwa fedha za kitanzania shilingi milioni nne tu.
Kiwanja chenyewe kipo karibu na shule ya upeo english...
Nyumba ina vyumba vitatu kimoja ni masters, public toilet, ina sebule kubwa, jiko, store pamoja na dining. Haijaisha bado finishing, kiwanja kimepimwa na ni kikubwa unaweza kujenga nyumba nyingine...
Nauza uyoga uliokaushwa,uko katika packet za gram 50 na gram 25,well packed,ni mtamu na umetengenezwa kutaalamu na bei yake ni nafuu.Mwenye kuhitaji anitumie PM ili nimuelekeze napatikana wapi...
Habari wadau, nauza kuku chotara wana miezi 8. Ni wakubwa wanafaa kwa kula au kufuga maana majike wanataga na majogoo wanapanda
kwa wale wanaokuwa maeneo ya Posta mpya nitawaleta ijumaa kuanzia...
Simu ni smartphone ina 3g,wifi,camera 3.15mp,android version 2.2 inaweza kuwa upgraded hadi 2.3, pia ina support whatsapp,instagram etc
Bei LAKI NA ISHIRINI
serious buyer wanicheki...
VIwanja vipo kigamboni wilaya ya Temeke, ni 16km toka Feri ya magogoni ,
vipo katika block moja.
vimeungania
kimoja kina Sqm 1,357 bei ni Tsh. 17m
kingine kina Sqm 1,682 bei 18.5 m
vimepimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.