Nina tairi 4 used, Tubeless, size 265/65 R17.
Zimevuliwa kutoka Landcruiser prado mara baada ya kununuliwa.
Sababu za kuuza.
Aliyenunua gari aliamua kuweka tairi mpya (brand new).
Hizi tairi...
Naomba wanajamii kwa wenye uelewa wa magari, kati ya Rav4 ya 1997-1998 na landrover tdi (200/300) ipi yaweza kuwa choice nzuri, moslty safari za mjini (twon routes)na mara chache sana kwa mwaka...
Natafuta Suzuki Carry yenye sifa zifuatazo; km chini ya 70000, iwe pick up, Rangi nyeupe, imelipiwa ushuru na usajili. Bajeti yangu ni 6.3M. Kama kuna m2 anaweza kuniuzia ani PM tafadhari.
wakuu.. kwa wauzaji wa laptop ninahitaji mini laptop kwa muuzaji yeyote anipe specifications na bei. ni kwa matumizi ya kawaida tu sina matumizi makubwa nayo.
Natanguliza shukrani.
Shamba tambarare lenye ukubwa wa hekari mbili linauzwa.mahali ni bunju- B mwendo wa dakika 10-15 kwa gari kutoka kwa wa athirika wa mafuriko.Bei ni millioni 28 udalali unakaribishwa pia.
VITZ
Mwaka 2002
Full a/c
Radio Fm/Am
Ipo katika hali nzuri sana plate no. C
Bei 5.3mil mazungumzo yapo
DISCOVERY
Mwaka 1996
KM 97000
Engine size 2500cc
Bei 11mil
MITSUBISHI DION
Mwaka 2000...
Mtaalamu wa kufunga na kuset dishi za aina zote (Kubwa na Ndogo) anapatikana hapa jijini Arusha na anaweza kuja eneo lolote jirani kama vile Karatu,Babati,Moshi nk.Bei zangu ni nafuu sana na...
Wakuu nawapa heshima zenu. Naomba kuuliza uzuri na ubaya wa gari aina ya I.S.T. Wanaoweza kutoa elimu wanisaidie hasa katika areas kama ulaji wese, upatikanaji wa spare, miaka ya kudumu kwake...
Wakuu nawapa heshima zenu. Naomba kuuliza uzuri na ubaya wa gari aina ya I.S.T. Wanaoweza kutoa elimu wanisaidie hasa katika areas kama ulaji wese, upatikanaji wa spare, miaka ya kudumu kwake...
Nimepata gari aina ya terios jamaa ananiuzia,ina mwaka mmoja tangu ainunue na ameniuzia kwa milioni 6,napenda kuuliza kwa wafahamuo ubora wa gari hizi,binafsi ninategemea kuwa naitumia kwenda...
ndugu wana jf nilikuwa na mahitaji ya pump ndogo ya kumwagilia hvyo kATIKA PITAPITA ZANGU NIMEKUTA PUMPU AINA YA HONDA GX 120 na kipenyo cha inches kama tatu kwa laki nne ila ni used .swali langu...
Naomba wanajamii kwa wenye uelewa wa magari, kati ya Rav4 ya 1997-1998 na landrover tdi (200/300) ipi yaweza kuwa choice nzuri, moslty safari za mjini (twon routes)na mara chache sana kwa mwaka...
Husika na heading hapo juu.
Kwa sasa nimejipanga na laki 900,000 ila iwe ndani ya box na fully accessories zake.
Kama used ni sawa ila iwe katika hali nzuri.
Pia iwe genuine, kwa kuwa...
HABARI JF, ninauza gari.
TOYOTA HILUX DOUBLE CABIN, D4D ENGINE,
MWAKA 2005, 2400CC,
AUTOMATIC TRANSIMISSION
IPO POA, HAINA TATIZO LOLOTE,
INAPATIKANA ARUSHA KWA SASA,
BEI NI 24 MILLION...
MADE IN TOKYO-JAPAN
HP: HP XW4400 Workstation
CPU: Intel(R) Core(TM) Duo 6600@ 2.40GHZ
HDD: 250GB
RAM: 2GB
USB: 6Ports
FIREWIRE: 3ports for capturing Videos from Video cameras
Video Editing...
Kwa wale watakao hitaji ramani za nyumba, mimi ni Architect lakn bado siawa registered.. So kwa sasa nafanya residential Houses peke yake. Tuwasiliane kwa wale watakaokuaintrested, tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.