Habari yenu ndugu zangu,
Kuna mali mpya hapa, ni LED 3D flat screen.....
Sifa za JVC LED 3D TV 55 INCH,
Product Identifiers
Brand
JVC
Series
Sapphire Series
Model
JLE55SP4000
MPN...
Habari wana JF.
Nahitaji Suzuki Carry yeyote kwa wale wanashughulika na uagizaji wa magari (wenye yards) iwe imetengenezwa kati ya 2000 - 2005, na imetembea km 30,000 - km 70,000. Kam unayo...
Kiwanja kinauzwa :
Wapi: Chanika Masantula
Ukubwa: Ekari moja
Vilivyomo: nyumba ndogo ina vyumba viwili (milango ya grill), miembe na minazi
Iko karibu na shule ya Chanika Tungini, karibu na...
mbwa mtoto jike mwenye umri wa miezi miwili na nusu (picha yake download attachment) anauzwa jijini mwanza, anaendelea na chanjo. bei yake tsh 300,000.
vilevile banda la mbwa lenye uwezo...
Kiwanja chenye ukubwa wa 32 kwa 36 kinauzwa kina nyumba kwa pembeni yenye vyumba vitatu kipo kiluvya gogoni(Njia panda ya kawawa), ni mbele kidogo ya kibamba.Umeme na maji yapo.
Bei ni 16.5M...
N black iphone
16 gb
Haina michubuko kabsa
Orgnal
Miziki zaid ya elfu moja ipo ndan
Charger yake utapata pale utakapo nunua
Bei shiling za Kitanzania 400,000/=
Inazungumzika
Anaehitaj...
Nauza Suzuki Vitara imported from England this year.
Nauza Suzuki Escudo imported from England this year. Chagua kati ya Vitara heavy duty gari ya kazi gari ya watu wanene. au Escudo gari ya...
Mambo ni aje wadau?
Aisee nahitaji msaada wenu,natafuta chumba(self) ikiwa na sebure itakuwa poa zaidi. Nahitaji maeneo ya Tabata,Mbezi ya Moro road,hata kibamba. Ninao uwezo wa kulipia miezi...
Nauza kuku Chotara wapatao 45 kwa bei ya kutupa kabisa Sh300,000/= Hii ni sawa na kama 6,600 kwa kila kuku... Kuku wana umri wa Miezi minne na nusu na baadhi miezi mitatu na nusu, wamechanjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.