Mashine ya kuangushia na kuchania magogo ipo inauzwa aina ya mashine ni husqvarna 279 chainsaw
KWA BEI YA LAKI NANE TU...
kwa mawasiliano
0714-414020
0719-819227
Tunachora ramani za nyumba za aina tofauti tofauti(primaryarchitectural services),pia tunadesign ndani ya nyumba ambazo zilisha jengwatayari,maduka,migahawa,vibanda vya simu n.k(hii ni kwa upande...
Shukrani nyingi ziwafikie kwenu wadau na watumiaji wa mtandao huu pekee Tanzania.
Natafuta laptop used aina ya toshiba au dell au hp.
Bei yake iwe walao laki tatu kamili na isizidi laki tatu na...
Watanzania wenzangu.
Mimi kwa jina halisi naitwa Bernard Bruno Mwenda.
Ninapenda kuwajulisha Watanzania wenzangu kuwa, siku ya tarehe 9/11/2013 majira ya saa 12:30 jioni, nikiwa na usafiri wa...
kwa wenye uzoefu wa biashara ya madini hasa aina hii.....soko likoje kwa sasa???kuna contacts za uhakika? je market price ni kiasi gani?? je mambo gani ni ya kuzingatia ????vipi kuhusu...
Wana Jf nina gunia 50 za mahindi, yenye ujazo wa debe 7 kwa kila gunia.
>> Nauza Tsh 65,000/= kwa gunia.
>> Nipo Mafinga mjini.
>>> Price is negotiable
CONTACT: 0769 877 495
habari zenu wakuu. natafuta simu tajwa hapo juu iliyo na specifications zifuatazo. iwe Brand New Sealed kwenye box, 16GB Capacity, color Silver, Factory Unlocked, na ya bei nafuu. kama unayo au...
nina toshiba table t100 imearibika mkanda tu na kidude cha kuwashia,ila inawaka...lete ofa yako na kama una smart phone tunaeza badilishana.IM SERIOUS UTANI WEKA PEMBENI.
Habari wadau! naomba ushauri juu ya aina ya simu ya kununua napenda tecno lakini zipo aina nyingi! je nia gani nzuri na ya bei nafuu. napenda sana internet nk.
kutokana na tatizo la umeme kukatika sasa, ulirudi kwaksi sana na kuchoma friji la kiofisi changu jana wakuu, mwenye friji dogo ya wastani isiyozidi laki na hamsini na iwe na uwezo wa kugandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.