Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
habar, nahitaji friji ndogo, iliyo katika hali nzuri 0786 305664
0 Reactions
0 Replies
735 Views
:A S confused:Kiwanja kinakatwa mita hizo 20*20! kinauzwa mil.5,barabara ipo gari linafika. Anayetaka ani PM au anitxt 0788272824.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu naitaji samsung galaxy s3 ambayo siyo CLONE.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naitaji sony experial x10i ilio in gud condition kwa bei nzur
0 Reactions
0 Replies
664 Views
iwe na vitu vifuatavyo RAM2gb,procesor2ghz dvdrom hdd isipungue 160,iwe inakaa na chaj
0 Reactions
3 Replies
925 Views
Wadau naomba kupata mtu anayeuza aina hzo za simu. Bei iwe nzuri.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jf,natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala ,sittingroom,choo na jiko bajeti yangu ni 250000 tu.kwa anayefahamu zilipo naomba anijulishe
0 Reactions
3 Replies
795 Views
Toyota altezza iliyo katika hali nzuri inauzwa kwa bei ya ml tisa tuu kwa mawasiliano 0767547228
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wanabodi.! Nafanya Installation na Configuration ya Game ya PES2014 kwa bei nafuu sana.Game iko poa sana na ina wachezaji wapya wa timu mbalimbali Ulaya kulingana na usajili mpya.Mwenye...
0 Reactions
2 Replies
899 Views
Nyumba yenye vyumba viwil vya kulala (master bedroom) na chumba kingine cha kawaida, public toilet, jiko, sebule nzuri, madirisha ya alluminium, dari la gypsum, floor ya tiles, baraza zipo mbili...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Dear JF Members, am looking for a godown of about 400 or 450 sqrmeter to rent,, it should be in DAR at an accessible area...and the rent should be chargeable in TSH......If any of you guys have...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Wadau naihitaji godown lenye ukubwa wa 400 au 450 sqrmeter kwa ajili ya kupanga, liwe DAR na sehemu inayofikika kirahisi.....na malipo yawe kwa TSH.&nbsp;&nbsp; MWENYE MPANGO ANIPM<BR><BR>ASANTE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natafuta frem ya biashara isiyozid laki moja mahali tajwa, kama kuna mtu anaweza nipa msaada zaid ya namna ya kupata hiyo frem ntashukuru sana Mzaha si mahala pake. Moods naombeni mwache...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Wanajamvi wenzangu, nduguyenu napata mkate kwa hii biashara ya kuagiza magari Japan/Uk na kuuza Tanzania. nina experience ya miaka mingi kwasasa nmeamua niwe nachangia jukwaa la biashara kwa...
0 Reactions
68 Replies
22K Views
Sherehe hazinogi bila burudani,na burudani haikamiliki bila mashairi mwananaa..kama unahitaj shairi kwa ajiri ya sherehe kama kipaimara,komunio ya kwanza,ndoa,birthday,ubatizo etc unaweza...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu natafuta laptop yenye specification zifuatazo Hard disk walau 500 Gb Ram 2 procesor 2 Ghz webcome kwa bei tajwa hapo juu maongezi ya kuongeza dau yanaweza fanyika pia...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa eneo la bunju A. eneo liko bunju A, Ni kama km 1 kutoka barabara ya bagamoyo.Kama unaenda na daladala unashukia Bunju CCM au Bunju Polis. Viko karibu kabisa na Chuo kubwa...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Habari za leo wakuu. Nyumba ya bedroom mbili au tatu inayojitegemea inahitajika kwa kupangisha arusha mjini. Niko open to negotiation lakini haswa nahitaji katika viwango nilivyo vitaja. Mwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashine ya kuangushia na kuchania magogo ipo inauzwa aina ya mashine ni husqvarna 279 chainsaw KWA BEI YA LAKI NANE TU... kwa mawasiliano 0714-414020 0719-819227
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom