Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Gari aina ya Nissan Wingroad inakodishwa. Kwa siku ni elfu 60 pamoja na dereva Mafuta ni yako. Piga 0766333023 maelewano yapo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa chamanzi mbande karibu kabisa na azam complex.kiwanja kipo mahali pazuri mita chache kutoka bara bara ya lami kuna bara bara za mitaa hadi kiwanjani.umeme maji vipo ,ni sehemu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa vipo chanika new kibawa kama mita 500m toka barabara ya rami ,kimepimwa na hati miliki hipo kina sqm 800, na cha pili kipo pugu mbuyuni kimepimwa na hati zote zipo kina sqm 500 ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza kiwanja eneo la Mwembemdogo, kiwanja hakijapimwa ukubwa ni miguu 30 kwa 30, viko nane. Ni kilometa 23 kutoka Feri Kigamboni. kwa mawasiliano nitumie ujumbe wa ndani nikupe namba ya simu.
1 Reactions
0 Replies
715 Views
KWA WANAOTAKA MAYAI YA KYENYEJI NA ASALI BEI LITA 1 ASALI-9000/= TREI MOJA MAYAI YA KYENYEJI-15,000/= TUMA EMAIL KWENDA giningiasilia@gmail.com au simu 0716 193 453
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi wana-JF Nahitaji gari, Toyota Vitz yenye specifications zifuatazo: 5 doors Automatic Transmission Less than 80,000km Should be in mint condition Color: Silver or Black Offer: TZS...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nitakupatia password /code ili uendelee kuifurahia au nicheki 768260834
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza laptop hp dv6, used for a month. Haina scratch ina ram gb 6, ina hdd 500 gb, graphic card ati radeoon 3000 mb, processor yake ni 3 Ghz, bei ni lak 7.5.
0 Reactions
1 Replies
603 Views
km kuna m2 anahitaj htc one xl good as new +earphone + usb cable and charger. Specs.... 1gb ram, 16 gb memory, crystal clear graphics, beats audio technology..etc. for only 450k . kama interested...
0 Reactions
8 Replies
920 Views
Nauza simu ya samsung galaxy s4 nyeupe, ni original. Imetumika kidogo na iko kwenye hali nzuri sana, ina 32gb internal memory. Inakuja na flip cover tu. Kwa mawasiliano pm au nichek at 0717301520...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naenda shamba kuvuna kitunguu shambani, natafuta soko huku Dar, hivyo naomba mwenye uzoefu wa soko anisaidie mwongozo. Mwongozo wenyewe ni wapi kuna soko zuri la kitunguu, tuwasiliane tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jamvi,...ningependa kujuzwa ni ving'amuzi gani ambavyo kwenye chanel zake naweza pata angalia Emanuel Tv(TB-Joshua) na baadhi ya Stesheni nyingine za Dini?.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Urgently needed, please nisaidie naweza kuipata wapi? Kuna mtu anayo? Itakuwa bei gani? Regards.
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Hivi bei ya chini kabisa ya kiwanja pande hizo inaanzia sh. Ngapi? 20*20 mita za eneo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari aina ya Suzuki Alto, CC 600 Ya mwaka 2000 inauzwa. Bei ni Tsh 6.5M (Negotiable). Piga: 0782707030
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Iphone 4 Nyeusi yenye ios 7 Imetumika mda mfupi ni kama mpyaaa.. Bei 340,000/= Contacts: 0716683434 Location: Mabibo Dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
786 Views
NOKIA E61 iko katika hali nzuri sana. BEI..laki moja na nusu..(150000tsh) haipungui Niko Dar es salaam Tuwasiliane 0768497592
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Nahitaji jengo maeneo ya Victoria na moroco au Masaki, jengo linaloweza kutumika kama makazi na ofisi kwa wakati mmoja. Dalali hahitajiki, na kama atahitajika yako mambo ya msingi kukubaliana. bei...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Ndg.wanajf,hope wote wazima.ninahitaji sana kitabu tajwa hapo juu cha elimu ya ndoa hususan NUSURU NDOA YAKO.Plz anayeuza tuwasiliane kwa 0686387132
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Nokia n9 inuzwa ya rangi ya pink (simu adimu kabisa) simu imeshatumika na ipo katika hali nzuri bila tatizo ina scratch kwenye cover kwenye pembe tu. Brief specs 1.Ina kioo inch 4...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom