Nahitaji accounting software, business software mbalimbali na Tax software hasa ya VAT Tanzania. Kwa mwenye kujua wapi nitapata na bei zake asaidie.
Eg; Sun system, tally, MYOB,Quick...
Sasa Unaweza kupata gari la ndoto yako.
Pata gari TOYOTA PASSO kwa kiasi cha Tshs 6.9milion tu.
Hiyo ni bei ya kulipia kila kitu na kulitoa bandarini.
wasiliana nasi kupitia...
Natafuta fundi mzuri wa suruali mwenye kuzingatia muda na kutunza ahadi. Awe ubora wa kazi. Asiwe mtu wa kufiwa na kuuguliwa au kuugua kwa kusingizia. Kama unamjua mwenye sifa hizi nipe contact...
Habari wanandugu,,
Napenda kuwataarifu kuwa nauza kuku wa Broiler kuanzia wiki hii.. Bei yake ni kati 5300 - 6000. Unaweza kunipata kupitia namba hii ifuatayo 0754750504 au 0715750504.. Kuku ni...
Wakuu naomba mrejee hapo.Ninauza laptop yangu mpya kabisa kwa bei ya 640,000.Maelewano yapo.Specifications zake ni hizi hapa
Ram 4gb.,Hard disk drive 750gb,processor 2.5.Ninaiuza siku chache baada...
wakuu nina IPHONE 3G ambayo ni feki ( yani siyo original ). Ina specification zifuatazo.
model ni A124.
internal memory ni 32 GB.
Ina itune.
Internet ni 4G
ina viber
ina camera nzuri...
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
Viwanja vinauzwa eneo la Mbande Tambani - Kongowe Dar es Salaam. Vina ukubwa wa futi 50 x 70, viko viwanja sita (6) ambavyo unaweza kununua kimoja kimoja kadiri ya mahitaji yako. Bei ni shilingi...
Habari zenu marafiki
Natafuta tender za kutengeneza Kadi za Harusi kama vile: Mwalikko kadi, sendoff kadi, kitchen party, kipaimara
kumunio, kadi za Seasonal na pia natengeneza keki kwa shughuli...
Habari za Leo Wakuu, kutokana na kukwama kwa mambo yangu mengi nimeamua kuuza bidhaa tajwa hapo juu, nna miliki Laptop na Desk Top Computers, Sifa zake ni hizi:-
1. Lap Top
Model - Acer Aspire...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.