Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
:msela:Wadau nahitaji friji au deep friza ya kununua mwenye kufahamu zinakopatikana an MP
0 Reactions
3 Replies
3K Views
hello, wadau ninauza gari yenye sifa zifuatazo make: Toyota model: Townace Noah model no: E-SR40G color: pearl white Yom: 1998 engine no: 3S5015915 Mileage:108750 road licence paid up to: august...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Nauza ipad 3 64GB ipo kwenye box kwa 800,000/= tu(fixed price)
0 Reactions
1 Replies
600 Views
Habari zenu wanajamvi na watanzania wote. Kuna magari mengi yamefika bandarini Dar Es Salaam. Ebu angalia baadhi ya magari yaliyopo bandarini kwa sasa. angalia link hii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza shamba la ekari 5 karibu na mbuga ya wanyama ya mikumi, milioni 5 kwa ekari, linafaa kwa ujenzi wa campsite, lodge au hotel. Piga 0769142586 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wadau, nilikua nashida na kifaa tajwa hapo juu..kama kuna mtu anacho au anamfahamu mwenye nacho ambaye kakiweka kama junk property..anaweza kuntafuta through 0712 507060 tufanye business
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Ziko :confused::confused:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba nzuri ya Kisasa, imezungushiwa ukuta, parking ya magari mawili, pamoja na kibanda cha mlinzi. Ipo Mikocheni Block C. Eneo lote ni Sqm 258. Hati zote zipo kwa ajili ya uhakiki. Kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Maeneo ya Kinondoni Namanga, msasani, manyanya, studio, shamba, room iwe ktk nyumba yeny uzio, gate.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viwanja viwili vinauzwa eneo la Kimbiji/kijaka (low density). Eneo linafikika kirahisi lipo karibu na barabara kubwa. Viwanja vyote vina offer halali. Kimoja kina ukubwa wa sqm 1,440 na kingine...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WANAJF, Kwa wale wanaopenda kuwa na mbwa kwa ajili ya ulinzi na mambo mengine naomba tuwasiliane. Ninao mbwa wawili wadogo ambao wanaweza kunywa maziwa na hata kula sasa.Wako wawili tu, jike na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari wakuu, nauza nokia 1280 used for 2months .. ina box ake na charger battery stays with charge for 3 days ukiwa unaitumia..5 days standby CONTACT 0712 507060
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu. Mimi na marafiki zetu tunatengeneza diesel kutokana na mimea na mbegu za jatropha na mimea mingine. Mpaka sasa TBS washachukua samples na kwenda kuzipima.Tuna uwezo wa kutengeneza...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwana-JF, Kuna chumba cha ofisi cha ukubwa wa mita za mraba 13 kinapangishwa kwa Tshs. 142,000/- tu kwa mwezi. Ofisi iko eneo la Sinza karibu na Mlimani City. Ofisi hii inafaa kwa mtu mwenye...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Wanajukwaa smartphone aina ya BlackBerry 9900 yenye specification zifuatazo: 5MP camera, 768MB of RAM na 8GB build-in memory. BlackBerry OS 7 and NFC support. inauzwa kwa bei ya Tsh...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina shida na modem ambayo iko unlocked ambayo naweza kutumia any simcard kwa aliye nayo au maelekezo ya sehemu ninapoweza kuipata Mimi niko Dar es salaam Asanteni.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nina tsh 250000 naitaji laptop kwa yeyote anayekubali offer yangu apige no 0713733408
0 Reactions
6 Replies
987 Views
LOCATION: Kinyerezi Mjeshi ( 2km from JNI Airport, off Kinyerezi – Mbezi Highway) SIZE: 225sqm each PRICE...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
HABARI ZENU WANA JF.POLENI NA MAJUKUMU YA HAPA NA PALE,KWA HESHIMA NA TAADHIMA KWA WALE MASINGLE MEN AND MASINGLE LADIES WHO ARE AVAILABLE AND THEY ARE SEARCHING THE REALY PARTNERS JUST CLICK THIS...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna Shamba linauzwa Kibaha, Picha ya Ndege. Shamba lina ukubwa wa hekari 5 na linauzwa kila heka Tshs 3Million. Kwa atakaelichukua lote maongezi yapo. Shamba lipo Upande wa Kulia, 2km...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom