Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Video camera for sale
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Wazee yeyote mwenye kujua mahali hapa Dar naweza kununua Hot paper cups (Disposables) au mahali wanapotengeneza zenye size tofauti anielekeze nina shida nazo sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo zanzibar mjini kununua onana na mimi iko very good condition with automatic door system even back door come and see for ur self full with navigation system
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Chogo monitor crt naitaji nina tsh elfu15
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Nauza used canon photocpy machine 1520 kwa anayehiitaji apige simu 0768808819 ama ani pm bei poa kabisa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman wana jf... natafuta mlinzi wa nyumba.... kutoka campuni yyte hapa dar.... naomba km kuna anaewajua....anipe mwongozo....
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu wana Jamvi! Tunatoa dawa na ushauri Kwa wale wenye matatizo ya vitambi na unene, Mteja atakuwa chini ya uangalizi mpaka hapo tatizo lake litakapokwisha, Huduma zetu zinapatikana...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Laptop dell(vostro) ipo katika hali nzuri, laki 6 tu. Nipo bukoba piga -0762 889907.
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Habari wakuu! CD tatu za psp naziuza kwa elfu 30 zoote » GTA liberitycity »Gangs of london »World tour soccer Contact- 0712 507060
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Mawasiliano 0768808819 ama ni pm
0 Reactions
3 Replies
761 Views
zipo tatu for serious buyers tu
0 Reactions
3 Replies
943 Views
Wakuu, Tunauza nyumba yetu iliyopo Tandale hatua 40 kutoka soko kuu la Tandale Dar Es Salaam, ipo barabarani kabisa mkabala na kanisa katoriki Tandale. Kabla Ilikua inatumika kama hoteli...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ndugu wana jamii nauza gari yangu yenye sifa hizo hapo juu, gari hii nimeagiza mwenyewe kutoka Japan mwaka jana na document zote ninazo, haina tatizo lolote lile, na haijawahi kupata ajali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ninatafuta mtu anayeweza kufunga mziki mkubwa, spika zenye uwezo mkubwa kama kwenye tamasha. Ni kazi ya siku moja tu. Kama kuna mwenye hiyo biashara tufahamishane, PM au weka hapa hapa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
k,iwanja kinapatikana maeneo ya kwa mrombo,na olacity,pia nyumba ya kupangisha ipo
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Tafathali mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba kimoja tu cha kupanga mjini arusha ili niwe nafikia niendapo kibiashara ntashukuru.madalali pia humu janvini nisaidieni,napendelea kwa mromboo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wakuu naomba mwenye simu tajwa hapo juu ani-pm bei na namba yake ya simu mie ntampigia.IWE IMETUMIKA AU MPYA
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu mambo vipi nina s3 mpyaa kwenye boksi laki6, s4 mpyaaa kwenye boksi laki8, s4-mini laki6 na note 2 laki 750 iphone 4s kwa 500 with ios7 na iphobe 4 laki450 with ios 7 ur mostly...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Vyumba viwili, sebule, choo na bafu unajitegemea, ulinzi wa kutosha wewe na mali yako, .. 0776 000084
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba kwenye picha iko Pwani, Manispaa ya Kibaha, Bokotimiza (kilomita 4 toka Tumbi Hospital ina vyumba 4, iko kwenye ekali 2, umeme uko karibu sana pamoja na maji ya kuvuta, Kuna miti ya matunda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom