Wadau JF, Nataka kutuma dola 100 za Marekani kwenye akaunti ya benki inayomilikiwa na Organization moja huko Uholanzi.Je ni benki gani inayotuma pesa kwa gharama nafuu zaidi..??? Naomba msaada...
Kwa wale wenye samsung s3 note2.s4 na zinazofanana nazo kama simu yako imezimika nina uwezo wa kuziamsha kumbuka isiwe imepita kwa fundi kwa maelezo zaidi ni whatsapp au nipigie simu kwa namba...
Kwa anayehitaji nyumba , ya vyumba viwili na seble moja, choo cha ndani, maji full, ipo maeneo ya forest, anitafute kwa no. 0764870830. ipo ktk hali nzuri na mazingira mazuri
Lipo Kibengu - Mufindi -Iringa.
Zipo Hekari 10, Miti aina ya Pines yenye umri wa miaka 5.
Linauzwa Tsh Milioni 15.
Bei inajumuisha ardhi pamoja na miti.
Contact: 0687 022411
Niko arusha nahitaji simu moja wapo kati ya iphone 5 na iphone 5s iwe kwenye hali nzuri bei isizidi 1,200,000/=
kwa mwenye yoyote ani tafute kwa izi namba 0767581885
Ninaua rice cooker sonawashi inayoweza kupikia robo kilo ya mchele hadi kilo 6 inapika yenyewewe unaweka mchele maji na mafuta tu inapika akiivisha we unapakua tu ni elfu 60 pia nauzagenerator...
Kuku Chotara majogoo na majike yanauzwa kwa sh. 15,000/= tu kila mmoja. Pia Mayai ya Kuku Chotara yanauzwa kwa sh. 12,000/= kwa trei. Mwenye kuhitaji ani PM
HABARI WANA JF.
Naomba nijulishwe duka gani hapa DSM naweza kupata hivi vihonda vidogo ambavyo havina gear [automatic] kilichotumika nje ya nchi. pia mwenye ufahamu anijuze bei zake, nahitaji...
Kampuni ya magari ya JAPAN, SBT JAPAN imetoa punguzo kubwa la magari yake ambayo yanakaribia kufika bandarini Dar es Salaam wiki Ijayo. kwa anayetaka kununua gari awasiliane nasi kupitia email...
SHERIA KWA KISWAHILI
unaweza kukipata KASE BOOK STORE ARUSHA, PERAMIHO BOOKSHOP SONGEA,TPH BOOKSHOP POSTA DSM, IMALASEKO SUPERMARKET DSM, VICTORIA BOOKSHOP MWANZA, BOOKPOINT MWANZA, ROYAL...
Ina: Sebule, stoo, 3 Bed Rooms+ Master..
Location: Tabata Bima
Mazingira; Safi & Salama
Mawasiliano: Inafikika kwa lami na near Railway Station
Services: Umeme, Maji & Parking yard kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.