Habari wana JF,
Wanaohitaji kufanya biashara ya kuuza mikate, kuna seti ya mashine zinauzwa Mjini Dodoma. Mixer kilo 25, Oven deki 3, na bread slicer. Mashine zote zipo order. Bei maelewano...
A well maintained Crv Honda for sale at a reasonable price of 9 million only.
Only serious buyers may contact me via
0718-551122/0716-84008
stay blessed
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala
kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na
sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika
na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title
deed yaan (hati...
Natafuta pikipiki aina ya sunlg ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 na haina matatizo. Kama upo tayari kuuza weka picha ya pikipiki hapa na bei yake. Nipo mlandizi kibaha
Kwa wale wenye mahitaji ya kisheria kama kuandaliwa submission,affidavit na documents nyingine pamoja na msaada wa namna ya kutafuta majina na kusajili kampuni( BRELA). Unaweza kuwasiliana na mimi...
Kanga wanauzwa kwa bei ya sh 20,000 kwa kila mmoja..wapo katika hali nzuri kiafya.. wanapatkana maeneo ya mikocheni DSM.. Kwa mwasailiano zaidi NIPM au piga 0719891518..
Natafuta chumba cha kupanga, preferrably maeneo ya Mwenge, Sinza, K/nyama au hata kama kipo cha sehemu nyingine zaidi ya hizo poa 2 (Kikiwa master itakuwa fresh zaidi).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.