Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Begs jumla elf 35000 rejareja 40000 vinakuwa vitatu Ni nzuri kimuonekano Material ni nzuri sana Tunapatikana Dar Kimara Suka Tunafanya free derivery Tanzania nzima...
2 Reactions
1 Replies
397 Views
Canon ir 1730 Zinapiga kopy 30 kwa dakika moja Zinauwezo wa kugeuza zenyewe Zinaprint mbele na nyuma DUPLEX Zina scan pia Zina network system Rahisi kutumia Spea zake zinapatikana Wino wake...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Pata viwanja vya Aina mbalimbali vyenye huduma zote za kijamii kwa bei rafiki kigamboni location Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M. Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Salama ndugu.....nilikuwa natafuta machine ya NMB Wakala ya kununua kwa mtu, mwenye nayo anicheki PM.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Natafuta Frame maeneo ya kimara mwisho na kariakoo msimbazi kama unayo. Nicheki inbox
1 Reactions
1 Replies
379 Views
Kwa mahitaji ya chakula safi na salad kwenye Harusi Send-off kitchen Pat Bathday mikutano Semina na hata misiba tupigie 0689198969. Tupo Kunduchi Dar es salaam. Tunakuletea ulipo.karibuni sana.
1 Reactions
2 Replies
686 Views
Shamba zuri sana kwa kufugia kitimoto linakodishwa. Lipo Kibaha Kwa Mathias Sifa zake; mabanda mawili makubwa yanafaa kwa kufugia nguruwe, kuna store ya chakula cha mifugo, nyumba ya kukaa...
2 Reactions
5 Replies
857 Views
Habari zanu, Natafuta shamba la kununua (siyo viwanja) kwa ajili ya kilimo na ufugaji, kuanzia ekari 5 hadi 10. Eneo liwe na ardhi nzuri kwa kilimo na ufugaji, maji yawe yanapatikana shambani au...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Ina support mitandao yote ni 4g LTE Bei 55,000 Mpya dukani ni 120,000 nipo Ubungo - Dar es salaam IMESHAUZWAAA
1 Reactions
7 Replies
599 Views
Solid State Driver (SSD) Ndo suluhisho la uzito wa Computer yako! Simple tu Unatoa Hard Disk unaweka SATA SSD ata kama machine yako ina Ram GB2 lakini ukiwa na SSD Computer yako itakuwa nyepesi...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya zoezi la kurudisha channel za nyumbani (local channels) katika king'amuzi cha DSTV bei yao ya kufunga king'amuzi kipya kuwa 59,000/ huku AZAM wakibakia na bei ya king'amuzi kipya...
22 Reactions
347 Replies
44K Views
Habari Kiwanja kinauzwa Chanika maeneo ya Buyuni, Kigezi Kina ukubwa wa 1600 sqm bei ni milioni 18, ama ukitaka kukatiwa pia sawa Maelezo zaidi DM
0 Reactions
3 Replies
662 Views
Waungwana najua shida kill mmoja wetu humpata nakuamua kuuza kilicho chake hatakama anakipenda kiasi gani ili kimsaidie hivyo na mimi msaada wa kutatua tatizo langu nimeamua kuuza simu yangu...
0 Reactions
10 Replies
497 Views
Sehemu: MWANZA USAGARA-NYANGHOMANGO. [emoji2518] Ina vyumba vitatu kimoja ni master, sebule, public toilet, [emoji312] Kiwanja cha nyuma kilichobaki 15 kwa 23, unaweza kujenga nyumba nyingine...
0 Reactions
2 Replies
602 Views
Lipo Kijiji Cha yakobi Katika halmashauri ya mji njombe Mkoani njombe Lipo barabara kuu ya lami ya njombe-songea Kutoka bararani mpaka shambani ni umbali wa mita 850 Parachichi zina umri wa...
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Iko katika hali nzuri ni ya January 2021. Ina vitu na nyaraka muhimu kama ifuatavyo: 1. Bima hadi Feb 23 2. Latra hadi Jun 23 3. Mapato TRA hadi Dec 22 4. Imefungwa GPS 5. Imejengewa vizuri...
0 Reactions
14 Replies
873 Views
Limetumika wiki mbili tu Bado nzuri sanaa Bei -600k Risit yake ipo
0 Reactions
4 Replies
762 Views
Habari wakuu Kwa anayehitaji Containers za 40ft ziko katika condition nzuri kabisa na zipo nyingi kama unahitaji basi nicheki tuzungumze Bei 4600 USD LOCATION KURASINI .
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom