Gari ipo katika hali nzuri na imetunzwa kama 0Km, njoo na fundi wako uchukue mali.
Contacts:
0746 931 556
Location: Mwanza
Bei: 17M (Milioni kumi na saba ) tshs.
Habari wana jamvi, naanza kufundisha javascript programming. Focus kubwa itakuwa katika web development. Utajifunza dynamic web pages.
Gharama ni sawa na bure, utalipia 10,000 na ntafundisha kwa...
Habar za jion wadau wa jukwaa
Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika
Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo...
Mahali: Kisarawe Kijiji cha Gwata (Appr. 60 km toka Mlandizi)
Ukubwa: Ekari 47
Hali ya shamba: Limepimwa na lina hati ya kimila ya halmashauri. Shamba ni pori.
Bei : milioni 7 (saba) tu kwa...
Habari za leo wana jamii. Ninatafuta connection ya kupata kuku wa kienyeji kutoka Tanga hasa wilaya ya Handeni kwa ajili ya kuwasafirisha kuleta Dar es salaam.
Ninatafuta taarifa za minada ya...
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
Bei isiwe kali, zingatia yafuatayo
1. Uwe na risit ya tv
2. Kama hauna risiti tunaandikishiana pamoja vitambulisho na passport size
3. Isiwe imeguswa na fundi
4. Bei iwe ya kitanzania
Picha...
Shamba linauzwa, linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=)
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga...
Jamani naombeni msaada wa mawazo juu ya kufanya malipo online nahitaji kulipia visa ya Canada Leo siku ya nne.
kila nikilipia sipati OPT code kutoka bank ili niingize kukomferm malipo, lingine...
Maelezo: Shamba linauzwa Liko maeneo ya Lutukila,Madaba(Km 1 kutoka barabara ya Songea -Njombe)Ukubwa wa shamba eka 100; Mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5,parachichi eka 3,Kuna bonde la...
OFFER OFFER OFFER, NAITUPA NOAH SR40 KALII SANAA
TOYOTA NOAH SR40 MPYAA SANAA
CURRENT REG: DHA
ENGINE SIZE : 1990 CC
Engine Type; 3s
AUTOMATIC TRANSMISSION
2-WD DRIVE
LOW MILAGE
FROM JAPAN
FULL...
Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye...
Jifunze kiingereza kwa kiswahili.
Vitendo (verbs) vipo vya maumbo tofauti, kama vile tulivyoona go/ went/ gone/ going/ goes nk.
Ila hapa tutaangalia yale maumbo matatu tuliyosema Jana , umbo...
CROWN ATHLETE MPYAA SANAA (DMW)
Y.O.M 2006
Low Mileages
Engine 4gr
Cc 2490
Full Ac
Full File
With sports rims & good tyres
Well maintained
Clean in and out
All duties and tax payed
*Price...
Hiyo nyumba inauzwa ipo kimara suka ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master na jiko store public toilet na sitting room na dinning Room eneo lina ukubwa wa 25x27 Bei milioni 50
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.