Watanzania jipatieni Tshirt za ukweli ambazo zinachapishwa kwa mashine.utavaa kwa muda mrefu bila kuharibika na pasi.
zinapatikana kariakoo mtaa wa sikukuu/udoe
Www.waladamin.blogspot.com
Habari members! naomba kufahamishwa gharama za zote ( gharama kamili) za kuagiza gari aina ya coster ama aina nyingine inayofanana na hiyo kutoka nje ya nchi hadi inanifikia mimi kama mmiliki...
Wakuu nauza townace noah yangu ambayo ni private ila ilishapiga kazi ya abiria
ni nyeusi
odo 190,000km
namba a,
bei 5ml, inatembea naitumia kwa kazi zangu zamizigo ya dukani
Natafuta RAV4 ya mwaka 1998 ambayo haijatumika Tanzania yenye 3s ENGINE. Kwa wadau wenye uzoefu naweza kupata kwa bei gani? mimi budget yangu ni 14m. Mwenye nayo naomba anijulishe
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema
Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2
Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!!
Na...
Tunawakaribisha watu wote katika Hoteli yetu ya Penguin Resort Hoteli, ni eneo zuri lenye utulivu mkubwa na kuna huduma zote kuanzia Chakula,Vinywaji na malazi pia,bei ya chumba ni kuanzia elfu 35...
Wakuu kwa anayefahamu bei ya ekari moja ya shamba maeneo ya magereza ya bagamoyo, na vigaya inaweza kuwa shilingi ngapi? Wenye uzoefu mnisaidie.
Asanteni....
Wakuu salama? Nahitaji fundi mzoefu na mwenye bei nzuri ambae anaweza kutengeneza madirisha ya aluminium, naomba msaada wa hata contacts kama inawezekana! natanguliza shukran za dhati
WanaJF wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia...
Simu tajwa hapo juu mpya na haijawahi kutumika kabsa inauzwa
Ina android 4.0
Camera ni mega pixel 12
Internal memory ni 32
Waweza kuichek specification zake zaidi hapa...
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za...
CLICK HERE FOR MORE DETAILS !!
A toyota verossa is now available for sale in Dar es salaam!!
PRICE= 16,000,000 TSHS ONLY !!
Price Negotiable?: yes
Contacts: 0714633314
Country: Tanzania
City...
Jamani mimi ni kijana wa kiume nipo dar,natafuta kazi yeyote kwenye mabaa,migahawa mikubwa,mashirika mbalimbali na hata kwa mtu binafsi,naombeni msaada
A DOUBLE-STOREY HOUSE TO LET1. Location
- Plot no 2173, Block D, Mbezi Beach, Dar es Salaam, Tanzania
2. Room facilities
(i) 5 bedrooms four upstairs and one downstairs (each room is...
wadau wa JF kuna kiwanja kinauzwa eneo: Mtwara mjini mtaa: Mitengo ukubwa:low density ya square meter 1500 na kimepimwa NB:KIPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI NA TAMABALALE NI 1KM kutoka katika barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.