Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Watanzania jipatieni Tshirt za ukweli ambazo zinachapishwa kwa mashine.utavaa kwa muda mrefu bila kuharibika na pasi. zinapatikana kariakoo mtaa wa sikukuu/udoe Www.waladamin.blogspot.com
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari members! naomba kufahamishwa gharama za zote ( gharama kamili) za kuagiza gari aina ya coster ama aina nyingine inayofanana na hiyo kutoka nje ya nchi hadi inanifikia mimi kama mmiliki...
0 Reactions
5 Replies
22K Views
Wakuu nauza townace noah yangu ambayo ni private ila ilishapiga kazi ya abiria ni nyeusi odo 190,000km namba a, bei 5ml, inatembea naitumia kwa kazi zangu zamizigo ya dukani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ps3 Inahitajika...New Au Used... At least 2 Pads. +255 756 412 337
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta RAV4 ya mwaka 1998 ambayo haijatumika Tanzania yenye 3s ENGINE. Kwa wadau wenye uzoefu naweza kupata kwa bei gani? mimi budget yangu ni 14m. Mwenye nayo naomba anijulishe
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani natafuta chumba sebule na choo kwa ndani mitaa ya sinza,mwenge ama kijittonyama haraka mwenye nayo anipm contact
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2 Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!! Na...
0 Reactions
2 Replies
888 Views
kwa anae hiataji maeneo sehemu za mbezi luis kwa ajili ya kituo cha mafuta, kujenga shule, kiwanda e.t.c ani PM, hata ya kukodisha yapo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Legacy impresion company Plot no 428 block 44 kijitonyama P.o.box 12800 Tel: 0713603699/0767603699 Email: info@legacytz.com Web:www.legacytz.com Blog:legacycompany.blogspot.com Your...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunawakaribisha watu wote katika Hoteli yetu ya Penguin Resort Hoteli, ni eneo zuri lenye utulivu mkubwa na kuna huduma zote kuanzia Chakula,Vinywaji na malazi pia,bei ya chumba ni kuanzia elfu 35...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kwa anayefahamu bei ya ekari moja ya shamba maeneo ya magereza ya bagamoyo, na vigaya inaweza kuwa shilingi ngapi? Wenye uzoefu mnisaidie. Asanteni....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salama? Nahitaji fundi mzoefu na mwenye bei nzuri ambae anaweza kutengeneza madirisha ya aluminium, naomba msaada wa hata contacts kama inawezekana! natanguliza shukran za dhati
0 Reactions
0 Replies
4K Views
WanaJF wenzangu! Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year! Naombeni mnijulishe wapi naweza pata! Hata "open space" pia...
4 Reactions
37 Replies
12K Views
Simu tajwa hapo juu mpya na haijawahi kutumika kabsa inauzwa Ina android 4.0 Camera ni mega pixel 12 Internal memory ni 32 Waweza kuichek specification zake zaidi hapa...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
kichwa kinajieleza wakuu...................pia ningefurai hi kama ningepata na mawasiliano.........kwani mimi nko mkoani thanks
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
CLICK HERE FOR MORE DETAILS !! A toyota verossa is now available for sale in Dar es salaam!! PRICE= 16,000,000 TSHS ONLY !! Price Negotiable?: yes Contacts: 0714633314 Country: Tanzania City...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Jamani mimi ni kijana wa kiume nipo dar,natafuta kazi yeyote kwenye mabaa,migahawa mikubwa,mashirika mbalimbali na hata kwa mtu binafsi,naombeni msaada
0 Reactions
0 Replies
804 Views
A DOUBLE-STOREY HOUSE TO LET1. Location - Plot no 2173, Block D, Mbezi Beach, Dar es Salaam, Tanzania 2. Room facilities (i) 5 bedrooms – four upstairs and one downstairs (each room is...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau wa JF kuna kiwanja kinauzwa eneo: Mtwara mjini mtaa: Mitengo ukubwa:low density ya square meter 1500 na kimepimwa NB:KIPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI NA TAMABALALE NI 1KM kutoka katika barabara...
0 Reactions
2 Replies
857 Views
Back
Top Bottom