tangazo
nyumba zinapangishwa.
nyumba (nzima) inapangishwa.
ipo nkuhungu north.
vyumba vitano (5) vya kulala vikiwa na tiles (marumaru).
sebule, jiko, choo, bafu na uzio wa ukuta.
milango na...
Habari,
Nafanya factory unlock kwa iphone model zote kwa bei nafuu kabisa, nitumie imei namba (dial *#06# kupata imei namba) ili niweze kujua simu yako iko locked katika mtandao gani na kukupatia...
Mchungaji huyu anahitaji chuo cha kujiendeleza kielimu ndani ya tz au nje ya tz namba yake ni :0759940988 kwa yeyote anayeweza kutoa msaada apige namba hizo.....
Wadau husika na heading
kwa Dar naweza kupata duka gani linalouza Sony play station 3 mpya (sio used) kwa reasonable price?
Kama hutojali naomba usinitajie 'GAME SUPERMARKET'
Na price zake...
Habari, Natafuta bodi ya Suzuki carry au Daihatsu hijet truck; ikiwa na chasis itakuwa poa zaidi. Tafadhari kwa anaejua wapi naweza kupata ani PM. Natanguliza shukrani.
wakuu nauza modem ya voda aina ya k3573-z, nimeichakachua waweza kutumia laini yoyote kwa anayehitaji anitafute hapa 0715304808.Bei ni tsh.20,000/=.ila haina kamfuniko ka mbele kama inavoonekana
Kiwanja kizuri eneo la tambarare,kimepimwa,kina hati,umeme upo karibu,maji yapo yanapatikana,km 5 kutoka barabara ya morogoro,barabara inapitika muda wote,ukubwa wake ni hatua 70 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.