wakuu nauza smartphone zinazotolewa na kampuni ya buttonpay ambayo utaweza kuwa wakala wa kuuza luku, vocha za mitandao ya simu pamoja extreme na huduma nyingine za mobile money... bei tsh 120000...
Kwa anayehitaji kuku wa kienyeji majogoo ni mazuri yana uzito wa kilo moja na nusu au zaidi baada ya kuchinjwa bei ni TSH 15000 mpaka 20000 kulingana na uzito na ukubwa
Mayai trei moja TSH 15000...
Wandugu, Natafuta mahali ninapoweza kupata german shepherd mwenye umri usiozidi mwezi mmoja. Mwenye kujua mahali wanapopatikana anifahamishe na bei yake pia kwa mmoja. Nahitaji wawili
Ni Model ya mwaka 2000,
Imetembea Km 122,000.
Engine Capacity 1330 cc,
Number T BDU....
Gari inatembea, Iko Dar es Salaam.
Inauzwa Mil 6.5
Mwenye Offer PM tafadhali ...
Jenereta aina ya Honda, 2200GF2 Inauzwa kwa bei nafuu,Ipo kwenye hali nzuri,imetumika kwa mda wa mwezi 1 tu,kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia 0659606000
Hallo,
Unahitajika Mkopo wa Bei Nafuu kwa ajili ya Kufanyia Finnishing Apartments 4.
Mradi Uko Ilala. 12.8Kms from the Heart of the City(Dar Es Salaam)
Muda wa kurejesha Mkopo Ndani ya Miaka...
za week end wandugu;
wajameni, nimeanza kukamata ngawira huku majuu na Mungu akipend nikitia mguu bongo nitaendesha kamashine kangu binafsi ka kwanza maishani mwangu. sasa naomba mnisaudie...
jamani kwa wale wapenz wa shisha kuna ambayo inauzwa bei maelewano alie tayar 0764606878. iko vizuri kutoka sauzi.. ni beep ntakipigia watu wangu wa nguvu...
Members kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Kwembe kijijini(Mbezi mwisho kwa mbele). Ukifika makondeko unaingia kushoto.Kina ukubwa wa 28x30.
Mimi sio dalali na wala sio muuzaji wa kiwanja ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.