Sony xperia v ,new ,water and dust resistance , 13 megapixels
3g ,4g .....................ni kali kabisaa
0778 619 619
0655 619 618
tafadhali mwenye kutaka kununua pekee anaweza kunigigia...
Modern fittings and good living space Master bedroom has an ensuite bathroom Common bathroom and separate washroom Open plan living room, dining area and kitchen Swimming pool office...
Wakuu, heshima kwenu
Nataka kuongeza wingo katika biashara ambayo nimewafungulia vijana wangu. Kwa kuanza nahitaji printer ambayo pamoja na kufanya mambo mengine iweze:
Kuprint picha - including...
Kwa anaehitaji line ya uwakala wa tGO pesa ninazo nauza km muhitaji nichek kwa call: 0757 100 687 na whatsapp au ni PM kwa biashara na muhitaji ambae yupo serious.
As we are entering the second half of 2013, it is high time to reflect and tap into yourself and the goals you have set in the beginning of the year. Ask yourself, have you accomplished most of...
Habari, nnaiuza pikipki yangu Mpya, Bajaj Boxer BM 150 AU kuikodisha kwa mtu ambaye ana mizunguko yz hapa mjini ila hajanunua chombo chake bado. Mimi nimepata kazi Mkoani, mbali sana na Dar...
Nipo dar nauza lap top kwa laki 2 tuu...ni nzima
sifa za laptop:hp compaq nc6220
hp compaq pentium centrino 1.73ghz
1gb ram
40gb hard drive
dvd-cdrw (combo)
14.1" screen
lan
modem
wifi...
Im looking for a business partner to run a fish farming project in tanga region. estimated cash flow is 30 million +. any interested party should contact me through my number 0718654739 or through...
Wanabodi habari!
Nimelima shamba la vitunguu yapata ukubwa wa ekari 1 na sasa vimefikia hatua ya kuweza kuvunwa. Kwa makadirio natarajia kuvuna kama gunia 70. Kwangu naona si haba na nimeamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.