:A S check_03::welcome: "Only 4 left in stock"
The Epson VS220 SVGA 3LCD Projector is equipped with the 3LCD, 3-chip technology and has 2,700 lumens of color and white brightness. It is easy to...
Salamu zenu wanajamvi!
Mimi ni mjasiriamali, ninamiliki mashine za kukamua mafuta ya alizeti mkoani Singida. Ninatafuta business partner ambaye ana mtaji kwa ajili ya kushirikiana naye kukuza...
Wakuu najua mtanisaidia mjasiliamali mwenzenu, nashida na frame nzuri kubwa kiasi angalau sqm 30 maeneo ya kimara iwe popote pale kati ya kona na kimara mwisho. Iwe katika hali nzuri, tatizo la...
This car is used overseas, its in good condition, ready to be imported,
- air condition
- petrol
- manufactured 2005
- automatic gear
- electric windows and mirrors
- tempomat
- RHD
- alloy wheels...
Habari wakuu,
Natafuta house ya 2bedroom full furnished maeneo ya mikocheni isiwe mbali na barabara ya old bagamoyo road.
cost less than usd 600 per month.kwenye nayo ani pm.
A Surveyed Plot
Location: Plot No 35, Block M, Goba Mtambaa, Kinondoni Municipality
Total Area: 2,088 Square Metre
Price: 25,000,000/-
Contact: +255757000400
Natafuta tenda ya jiko
kwenye bar/grocery/
restaurant ya
kuandaa vyakula kuanzia
supu, vyakula vya mchana na uchomaji wa nyama, mkataba
ni maelewano kuendana na
sehemu yenyewe ilipo na flow...
TUNATOA HUDUMA KAMA ZIFUATAZO kama madai ya ardhi ,jinai,ndoa, miradhi ,madai yakawaida ,pia tunawakilisha wateja wakesi mahakamani kama kutaonekana kunahitaji hilo na kusimamia mauzo...
WAKUU NAOMBA KAMA KUNA MDAU YOYOTE WA JF MWENYE INFOR. ZA CEMENT YA NJE ie IRAN OR PAKISTAN ANIPATIE MAHITAJI YANGU NI MIFUKO 640 KWA WEEKI NAOMBA KUFAHAMU PRICE KWA MFUKO MOJA WA KG 50.
Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kiswahili,Kiingereza na Kichina. Pia ninafahamu masoko na Viwanda yenye...
Kilipo: Bwawa la Mindu karibu kabisa na Barabara ya Moro-Iringa Ukubwa: Ekari Moja Bei: Mil.10(Mazungumzo yapo) Mawasiliano: PM kwangu nikuunge kwa mwenye eneo Karibuni wote! Mzee Tupatupa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.