Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
-1gb of ram -1.2 dualcore procesor -Non removable battery 1780mAH -16GB INTERNAL STORAGE -MICRO SIM CARD -BEI 500000
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Habari wakuu, Nimeamua kuuza shamba langu, Details: Heka 30 Sehemu,wami dakawa,luindo Mazingira;lipo pembeni ya mto wami Linafaa kwa kilimo cha mpunga kwa masika,na mboga mboga kwa...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
ni nokia e71 IPO katka hali nzuri bei ni maelewano....warant one year karibuni sana....niko moshi
0 Reactions
2 Replies
864 Views
shamba lenye mazao miembe michungwa mininga kama heka 2 mikoroshn na mazan mengi pamoja na kisima cha maji cha kuchimbwa lipo umbali wa kilometa 2 toka barabara ya morogoro linauzwa Tsh...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nduguzangu nina uzoefu wa kuchapisha Tshirt kwa mashine,very nice quality & ya kudumu bei yake sio ya kutisha ila roho yako itapenda. Tembelea www.waladamintz.blogspot.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Quad bike Inauzwa Exellent! Condition...Kwa 1.5M (Negotiable) Ukitaka Kujaribu Au kucheki Nipigiee 0712 126 735......Au +255 756 412 337
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tunasambaza mabanzi kutoka iringa,kwa wateja hapa dar wanaohitaji tunapokea oda ..ni PM Updates: mabanzi bado yapo,ni mti wa pines,ft 12,tunapokea oda,mzigo unaletewa mpaka mlangoni!bei ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu, Video camera ipo safi kabisa inauzwa. Price 320,000 tzs Includes; 4 GB memo card, charger, av cable na usb cable, battery pack Pls serious buyers dial 0715490570.
0 Reactions
3 Replies
797 Views
Nauza laini ya uwakala wa mpesa sh 600000 tu. Nitafute 07141155854
0 Reactions
9 Replies
1K Views
natafuta ps2 ambayo ni used. PM kama unayo unauza
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nipo ubungo Dar.. Accer mini RAM 2GB,HARD DISC 320 GB..ipo katikat hari nzuri..imetumika kwa miezi 6 tu.. Price 380000. Contacts 0768497592.
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Ardhi kuanzia heka moja mpaka heka 250 bei ni kulingana na eneo, maeneo yote yanafikika kirahisi kwa gari, bei kuanzia milioni 2 mpaka milioni 3, kwa mawadiliano piga 0717000990/ 0764434673/...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ina vyumba vya kulala vitatu,kimoja ni master bedroom,jiko,sitting room,stoo na dining.pia imezungushiwa ukuta.ipo karibu/nyuma ya sokoni,ina hati miliki bei; tshs millioni 90 Dalali anaruhusiwa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hya tena kwa wale wanaotaka kununuwa Mabasi ya abiria toka Germany MERCEDES BENZ LUXURY BUS Model 404 inabeba abiria 52 Wanaokaa kwenye Viti ipo kwenye condition nzuri na kuna choo ndani na ya...
5 Reactions
107 Replies
17K Views
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii link www.bongogadgets .com sijajua kweli unaweza pata kwa wakati au ndio janja saidieni na wengine wanufaike
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba anayejua wanapouza milango mizuri in Arusha or kama ni mtu anauza let me know please... Regards, Jonathan.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kuna raia mmoja wa kigeni anatafuta msichana na mvulana wa kumfanyia kazi zake za nyumbani kwa muda wote atakaokuwa hapa nchini(miezi mitatu) kabla ya kurudi nchini kwake ujerumani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jiachie na spy pen yenye uwezo kurecord video na kupiga picha na sauti kwa Tsh 150,0000/= uwezo wake ni 4GB unaweza tumia kama flash disk pia 0655948888
0 Reactions
32 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Back
Top Bottom