Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
for more information contact us 0715878575
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayeuza samsung galaxy s3 inahitajika haraka sana, iwe kwenye condition nzuri na accessories zake if possible. Bajeti yangu ni 560k. Kama unauza tuwasiliane kupitia pm, au 0717301520 au whatsapp
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 2 (1 master) vya kulala, sebule na jiko katika maeneo niliyoyataja au jirani na maeneo hayo.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kama hii, huku niliko tunaitoa Bujumbura lakini of recently mafundi wachomeleaji wa huku wameanza tengeneza sasa sioni kama inalipa kusafirisha kutoka huku wakati materials (iron bars, iron plates...
7 Reactions
20 Replies
15K Views
Pata mchele safi kutoka magugu kwa 1400@kg.‎؛t the quality product you can afford
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Nina dell xps l501x core i5, harddisk 500gb na ram 4gb. Bei 650000. samsung model np300e5a. core i5, harddisk 720 na ram 4gb Bei 700000. Sio mpya ila zote zina hali nzuri na ukiziangalia...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
niko na laptop HP Compaq cq 63, HD 160gb, ram 2gb iko kwenye good look I guess imecrash motherboard coz haitaki kuamka nataka kuiuza kama screpa mnunuzi ajitokeze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi, I'm looking for a three bedrooms house, fully furnished for one month, coming for holiday with family from July. Thanks
0 Reactions
3 Replies
885 Views
Habari wadau JF, Ningependa kuuliza,eti simu za tecno(eg.tecno n3,tecno d5,tecno n7) ni original ama ni fake?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu naomba mwenye kujua bei ya simu hii ni tsh ngapi ! Aksanteni sana.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hi wadau,Nauza kiwanja maeneo ya mbezi msumi nusu ekari bei maelewano baada ya kukiona cm no 0719418051
0 Reactions
2 Replies
1K Views
processor core i5 or core i7. ram 4gb or 8gb. hard disk kuanzia 500gb. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
987 Views
kwa wale wenye biashara za kudumu na kuaminika kama mm hii ndo sehemu nyingine ya kufanya matangazo yetu www.inauzwa.com sio lazima uwe na bussinness unaweza sign up ili ku access kuuliza maswali...
0 Reactions
1 Replies
798 Views
Naombeni kujuzwa ushuru wa magari haya yote ya 2004 .ni magari nayoyapenda sana. Toyota caldina Nissan primera wagon Toyota avensis wagon Mazda premacy Nissan liberty Subaru legacy touring wagon.
0 Reactions
1 Replies
840 Views
wakubwa nauza iphone 4s 64gb tsh 550,000 mpya.anaehitaji please wasiliana na mimi pm....please jiandae kabla ya kuniomba contact,simu ni mpya iko boxed na accessories zake zote...... Angalizo:nipo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hosting Plans: Duduhosting Our Works: Dudu Portfolio Our Services: Dudu Services Katika dunia ya leo kumpata mtengenezaji wa Website si tatizo, ila kumpata mtengenezaji wa website...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wenye Guest house,Mahotel,Kambi na wanaohitaji kusambaziwa channel tuwasiliane kwa PM ni channel zozote uzitakazo wewe ziwe FTA au za kulipia. Bei ni nafuu sana. Aksanteni sana pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar yenu wana JF naulizia wapi nitapata mtaalam wa kudisgn website ! nahitaji sana u can PM thanx in advance :faint:
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Wana jamvi habari za majukumu, Nina ofisi ipo sinza mugabe, ina vyumba viwili, na jengo zima lina ulinzi wa security guards. Ofsi nalipia 300,000 na ulinzi nachangia 180,000 Jumla ni 480,000. Hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom