SHAMBA LINAUZWA
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni...
Habari za muda huu waugwana!
Jamani naulizia kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata injini aina ya Yamaha 9.9hp au Yamaha kubwa zaidi ya hapo, basi tujuzane.
Asante
kwa wale wanaohitaji laptop used ambazo zipo ktk hali nzuri, sasa hivi ninamzigo wa VIJITSU, PROCESSOR 1.6GHZ, RAM1.5 GB. HDD 60GB. hd screen pia ina wifii, bei ni tsh 300,000/= kwa mawasiliano...
HTC legend used inauzwa charger yake unapewa na usb cable yake..
Bei ni 180000 tu..
contact: 0713628941
Specification zake soma hapa
www.gsmarena.com/
htc_legend-3141.php
Wakubwa,
Nauza Marine sheet kama 100 na mbao. Marine nimezitumia kumwagia jamvi la juu kwenye kajumba kangu Tegeta. Kama unaitaji nitumie msg. Nauza bei ya kutupa, half of the price. 30,000 kwa...
jamani wapi naweza kupata housing ya n9 au kama kuna mtu anaya simu kama hyo ambayo ni mbovu hana mpango wa kuiteneneza au haitengenezeki tuwelewane aniuzie housing 0683808361
Nyumba nzima ya kupanga inatafutwa.
MAENEO: maeneo yoyote ya Temeke, Dar es salaam, ama nje kidogo ya wilaya ya Temeke.
SIFA: Iwe ina choo cha ndani, iwe na marumaru ndani ya nyumba nzima...
Wanajanvi naombeni msaada kwenu nina madini aina ya kasheshe lakin sijui
soko nitapata wapi wanunuzi wa madini ya Aina hii hivyo naleta kwenu wanajamvi
plz... plz.... nisaidieni
waweza nicheki kwa...
Ndugu wana jf ninahitaji container kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. liwe linapatikana katika mkoa wa Dar es Salaam ili kurahisisha usafiri. Bandarini yanauzwa lkn bei...
Ndugu wanajamii forum,natafuta CONTAINER kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. Container liwe maeneo ya Dar es Salaam. Bandarini yanauzwa lakini bei kidogo iko juu! Kama...
Wakuu habari,
Nataka nianze ujasiriamali, na ningependa kuuza nguo za mitumba za watoto. Sasa shida sijui mabel ya mitumba yanauzwa wapi dar/kariakoo na ningependa kuuza nguo first quality sio...
Habari zenu wanajamvi.
Ninashida ya kuelewa au kujua kama kuna promotion yoyote inayotolewa na kampuni ya simu ya nokia kama nilivyoiainisha hapo juu kwani nimetokea kupokea msg kwa mobile namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.