Waheshimiwa naombeni busara zenu na msaada kwani najua hapa ni kitovu cha mambo yote. Kuna mshkaji wangu ameniletea Blackberry kutoka USA iliyokuwa katika contract ya T-Mobile aina ya Blackberry...
Wadau mim kwa muda mrefu sasa nimegundua sis watanzania wengi tunapenda BEI RAHISI badala ya UBORA wa kitu husika,JE NI UJINGA ama NI HALI NGUMU YA MAISHA?
Ninauza complete computer.
Specification ni kama hizi;
Hp desktop
RAM 1GB
HARA DISK 160GB
PROCESSOR DUAL CORE
Sio mpya, bei ni maelewano.
Niko Arusha kwa wanaohitaji tuwasiliane.
Hi all,mambo zenu vipi..
nauza this quad bike here...ni nzuri na haijanisumbua hata kidogo..
Make : Zongshenengine size : 125cc
fuel efficient kabisa na speed ni nzuri kabisa....hata wadada...
TOROT CARDS are part of western traditions, very popular in Europe, north and south America, but what are they really about?. If this subject interest you, just PM.How Tarot Cards Can Help You...
Hi All,
mambo zenu...mi natafuta wapi nitaweza printiwa jezi ya real madrid yenye jina langu nyuma...nimeona kuna watu wanazo ila sijui where to get this...i like to have one..and how much...ni PM...
Wanajamvi,
Kwa mtu aliyeagiza Toyota Raum ya mwaka 2004 ushuru unaweza kuwa kiasi gani?
ningependa ushuhuda wa mtu aliyelipa ushuru hivi karibuni.
Asanteni.
Kwa wenzangu wanaopenda kutumia smart phones za bei mbaya kwa kununua bei za kitonga, naomba niwafahamishe kuwa kuna simu zilizozagaa mjini hapa especially Samsung S3,S3 mini na S4. Ambazo ni...
Wandugu wajasiriamali wenzangu,baada ya kuvuna mazao yangu,napenda uwasilisha kwenu sasa mchele super magugu unapatikana kwa wingi,mimi mwenyewe nnao hauna dalali.
Mahali mzigo ulipo nimagugu...
Tunauza GPS kwa bei nafuu sana:-
(1)mabegi ya watoto yenye GPS $200
(2)GPS za piki piki $150
(3)GPS za magari $200
mawasiliano zaid +255655948888 email.oxfordcomputertech@yahoo.com
kwa wanaohitaji kutengenezewa website,blogs,vipeperushi,na otherstationary stuffs. contact us maria@dwt.co.tz au 0715878575 .
Website hosting and Domain registration kwa 100,000/= TU.
Mfano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.