Hie
I'm looking for a company which can provide the above service(s) at affordable costs in relation to the quality of services offered!
Location:-Dar es salaam
Contact:0713473166
Needed-Urgently...
Hili tangazo ni mojawapo ya meengi yaliyopo kwenye pages za JF.
Hivi wakubwa zangu kitengo cha JF Marketing mnafanya screening ya haya matangazo kabla ya kuyaweka au mnapaste tu?
Nyumba nzima yapangishwa.
MAENEO: Temeke, Dar es salaam. Nyumba ipo mtaa wa Mashine ya Maji no5. Ni kama km 1 kutoka Mtoni Mtongani. Mtaa upo kati ya Buza na Mtongani.
MAUMBILE: Nyumba ina...
Inauzwa kwa bei ya 380,000/= maana kuna emergency imetokea,mlango wa maelewano uko wazi pia.
Nipo Salasala -Dar es salaam.
HAINA FLASH ilipotea.Kwa maelezo zaidi 0763364005.
Hizo picha...
Kama wewe ni mfanyabiashara na unahtaji kuboresha biashara yako kupitia mkopo(loan) lakin huna dhamana ya mkopo(security).Nitafute nikuwezeshe kupata Title kwa ajili ya mkopo,ushaur pia utatolewa...
Poleni na majukumu wana Jf, kitambo sasa nasaka huduma ya kutambua mtu ninayeongea naye kwenye cm mahali alipo. Je huduma hii hapa Tanzanzania ipo? Na kama ipo inatolewa na nani! Tadhali naomba...
viambatanisho:headphone,usb,charger
anayehitaji antafute ktk namba hapo juu..sina mautundu ya kuweka picha ila ukidownload utaiona,bei Tsh95,000/=
Karibuni
WADAU NAHITAJI CHUMBA NA SEBULE KWA AJILI YA KUPANGA
MAENEO KINONDONI, KUANZIA VICTORIA SAYANSI,MOROCO BLOCK 41 KANISANI, A, B, MWANANYAMALA (isiwe bondeni)
UWEZO KODI 50,000 KWA CHUMBA...
Nyumba nzuri ya vyumba viwili vya kulala (kimoja master), sitting room, jiko na choo. Iwe Imezungushiwa uzio wa ukuta.Kuna parking ya kutosha magari walau mawil. Kodi 350,000.Ikiwa unayo piga...
Kuna laptop aina ya hp hdd 500gb,ram 2gb,core I 3.toshiba laptop 300gb hdd,ram 2gb.zote mbili kwa 1.5m
Tablet aina ya super touch gps-s717 android kwa sh 200,000/=
Namba:0713656256
Habari zenu wana JF.
Nina mashine za kufanyia marekebisho ya barabara (Road works machine) na mashine zingine za ujenzi wa majumba, ninatafuta fundi mzuri na mwaminifu atakayeweza kuzifanyia...
Salaam Stahili ziwafikie nyote!
Rejea mada tajwa hapo juu,ninatafu nyumba yenye sifa zifuatazo;-
-Chumba 1 na sebule/chumba kimoja kikubwa self-contained
-ada iwe 50,000/ kila chumba malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.