ni toshiba tablet T100,INA CAMERA YA MBELE NA NYUMA,WIFI,KIJISEHEMU CHA KUWEKA FLASH@HAPO UNAPATA MUVI KAMA KAWAIDA,INAKAA NA CHAJI MASAA 8,INACHUKUA MUVI NA KUPIGA PICHA..
***BEI LAKI 4...
Wakuu natafuta line ya tigo pesa ili kufungua duka la uwakala wa Tigo pesa. Kama kuna mtu anayo au anafahamu pa kuipata awasiliane nami kwa 0757005468.
Wewe ni mjasiriamali? Pata bata mzinga vifaranga wakubwa kwa wadogo pia bata bukini wanapatikana nao wakubwa kwa watoto number yangu 0757-662401 karibuni
Wana JF,
Naomba mwenye website za mitandao ambayo inauza gari second hand kwa dubai anirushie hapa. Nasikia gari zipo cheap sana kwa dubai kama ilivyo Japan.
Thanks alot.
Viwanja viwili vinauzwa, vipo bunju na vyote vina hati..!! Ni vizuri na vipo karibu na miundombinu
1. sq meter 1525 sh 55 million
2. sq meter 1406 sh 50 million
Bei inapungua kidogo..!!
If your...
Nyumba inauzwa, ina Maduka matatu yanayofanya biashara ,inafaa kwa ujenzi wa Ghorofa kutokana Sheria za Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA)
Nyumba hii ipo karibu na Banki mpya...
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya...
kama kuna mtu mwenye kuuza laptop naomba tuwasiliane kwa sababu ninaihitaji kwa sasa. Nahitaji laptop isiyozidi laki 5 plz mwenye kuuza tuwasiliane 0684036259
NYUMBA YA KWANZA: IPO AFRIKANA
3 Bed rooms
Dining room
Seating room
Ina fence
Maji
Umeme
Tiles
Madirisha ya aluminium
Parking
Kodi: 500,000/= kwa mwezi na inatakiwa ya mwaka mzima.
NYUMBA...
Nimefuga kuku wengi wa kienyeji, ningependa kupata soko la uhakika hasa miji ya Dar, Moro na Dom.Naweza kukuletea mahali ulipo kwa order ya kuku wengi. Kuku wangu ni wenye afya na wamechanjwa...
Natafuta mtu mwaminifu wa kufanya nae biashara ya samaki kutoka sehemu yoyote ile ya tanzania japo nasikia kwa Dar ndio kuna soko zuri la samaki. Mi nipo mwanza/simiyu, ivyo mtu yeyote aliyetayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.