Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Natafta chumba self contained kiwe town kabisa mazingira mazuri, nitakaa for 6months nitashukuru nikipata na kitanda, jiko na friji ndani, mwenye nacho nipm number yako ntakupigia, asante sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hatimaye wakala wa tvs king apatikana na wanauza kwa bei poa kabisa sawa na bure so wewe mkazi wa mtwara jipange jichange upate usafiri wako kwa ajiri ya kufanyia biashara na wametoa ofa maalumu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau,napenda kuwakumbusha kwa mara nyingine kuwa mafuta ya mbegu za ubuyu yapo na bei yetu ni ileile lita 1 ni Tsh 35,000/= Kwa wale ambao walishawah kuyatumia wanaweza kueleza jinsi...
0 Reactions
0 Replies
35K Views
Kwa mahitaji ya video shooting, kama vile harusi, send off, filamu na album za kwaya, n.k kutana na bwana matungwa video production-bukoba. Yupo mkabala na kituo cha mafuta aboos barabara ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
habari gani wana jf? Nahitaji kununua monitor(chogo) kwa ajili ya cpu yangu , bajeti yangu ni tsh 20,000. Kwa yeyote mwenye nayo tuwasiliane kupitia 0752490238. Mimi nipo Dar. Ahsanteni
0 Reactions
20 Replies
2K Views
blackberrycurve3 used for 2months inauzwa kwa 230,000 nicheki kwa 0717022737 for b'ness
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Nokia C7 review: Rise and shine General 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 850 / 900 / 1700 / 1900 / 2100 SIM...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Galaxy S2 zinauzwa kwa Tsh laki tano each. Ziko 3 (all in perfect condition), used only for 1 month. Serious buyers call me at 0716741637 or PM.
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Wakubwa habari za majukumu, Jamani naomba msaada kama kuna mtu anauza watoto wa Bull dog au amesikia mahali wanapatikana anijulishe ninahitaji, hata kama si Dar ila ni ndani ya Tanzania, msaada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nahitaji keyboard ya laptop tajwa hapo tuwasiliane kwa namba hpo juu.
0 Reactions
0 Replies
760 Views
We are keeping stock of: Fleetguard filters for most engines of all large brands like Caterpillar, Liebherr, Komatsu, Hyundai, Scania, FAW, Mercedes, Perkins, Cummins, Toyota, Landrover etc...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Do you want to build with quality blocks? Do you want to give out order/tender for quality blocks? HALAAL CO. LTD located at Tegeta Dar es salaam can solve your problems and fulfil your needs...
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Nipo dar,nina laptop mbili so moja nataka niipunguze,nipatie laki 2 na 70 ama tablet aina yoyote isiyo na matatizo or brackberry torch sifa za laptop:hp compaq nc6220 hp compaq pentium...
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Wakuu, nahitaji laptop aina ya HP Pavilion dm4-1165, core i5, atayepata ani PM,
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Macbook pro hard drive 250gb ram 4gb price 1,700,000tsh free wireless mouse call 0784388226
0 Reactions
0 Replies
714 Views
blackberry curve 9360 good as new price 250000tsh call 0784388226
0 Reactions
0 Replies
673 Views
  • Closed
If you have EA email addresses for sale or lease let me know. thanks
0 Reactions
1 Replies
610 Views
natafuta tv flat scren nchi 24 or 28 tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
843 Views
nahitaj tecno n7 haraka mno anayeuza anipe bei tuwasiliane
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Wakuu wa janvi, Naskia mtaani kua magari kwa zanzibar ni bei rahisi kuliko kununulia bara. naomba mwenye connection ya jinsi ya kupata toyota costa anifahamishe hapa. natanguliza shukrani...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Back
Top Bottom