Ni chumba na sebule. Cha kulala ni self contained. Na kuna bafu na choo tena ipo kwa nje which means wageni ama ndugu watakuwa wanalitumia watakuwa hawatumii bafu lako la ndani.
Ni kimara baruti...
Kwa mtu anae hitaji kuku na mayai ya kuku wa kienyeji wasiliana nami kwa namba 0756868912
bei yao kwa mtu anae chukua kuanzia kuku 20 ni shilingi 10000/= kwa kila mmoja wana umli usiopungua miezi...
Wakuu nauza kiwanja chenye nyumba ndogo yenye vyumba viwili na sebule cha ukubwa wa robo eka Chanika karibu na kituo cha daladala cha Chanika. Eneo ni zuri sana watu wamejenga majumba mazuri ya...
Habari wakuu, nauza hii tablet ya Asus Nexus 7 Na in support sim card na wireless so unaweza itumia kama simu na matumizi mengine makubwa.
Ina specification zifuatazo,
Ram 1gb
Android os 4.0.1...
Apple MacBook (13.3-inch)
Processor type: Intel Core 2 Duo
Speed: 2.4 GHz
RAM: 250GB
PRICE: TSHS 680,000 BUT VERY NEGOTIABLE
KAMA UNAHITAJI NICHEKI KWA WHATSAPP AU KAWAIDA 0713218388 E-mail...
Habari wanaJF,
Kwa mtu anayefahamu kampuni zinazouza madini hapa Tanzania tafadhali naomba anijuze. Au kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata madini ya Wolfram(Tungsten Trioxide). Tafadhali...
Nyumba ya vyumba viwili (kimoja ni master), sebule na jiko inapangishwa, parking ya gari 2.
Bei ni laki 2 kwa miezi 6!
Ipo hatua barabarani kabisa (Moshi-Arusha road) na ni moja kati ya nyumba 4...
Sehemu kubwa kiasi tambarare inakinyumba cha vyumba 2 nachoo yombo kwaalbowa mkoa dar wilaya temeke Barbara yalami naumeme nguzo IPO uwajani kwan kwenye ivyohaujaingizwa umeme ukubwa mit 35 urefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.