Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
NAUZA GARI, NI TOYOTA MARK 2, GX 100, BM 2000, YA MWAKA 2008,BEI MAELEWANO, IPO KATIKA HALI NZURI INATEMBEA! Ipo morogoro.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viwanja vipo sehemu nzuri ambazo zinafaa kwa makazi , mji tayari umeendelea katika kiwango cha kutosha , huduma zote muhimu zipo. kuna viwananja vya 25 x 35 bei 2,800,000 na 30 x40 bei 3,800,000...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shamba linauzwa. Lina ukubwa wa ekari mbili Lipo karibu na Luther Girls School Bagamoyo Eneo zuri sana kwa Biashara kubwa, Makazi na hata kilimo Bei ni 120mil. Madalali hawatakiwi. PIGA 0652351207
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza kiwanja changu ,kipo Dar es Salaam, Mbezi Salasala – Kinzudi. Unaweza kufika kupitia Mbuyuni(Bagamoyo road). MAELEZO YA KIWANJA; Kiko umbali wa mita 200 kutoka stendi ya daladala ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inauzwa kwa sh. 350, 000. Nipo Dar
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Eneo la hekari 19 linauzwa ,lipo mkuranga manambaya linafaa kwa matumizi mbalimbali .kama shamba , makazi au kupima viwanja ,chuo,mambo ya kidini nk. lipo mkuranga mwanambaya mkoa wa Pwani ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Iphone 5 16GB, white in color na ni mpya haijatumika kabisaaa. Bei ni 1 million. Sellers location: Dar Phone: 0655003510 Sent from my BlackBerry Bold Touch 9930 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Nimewahi kutuma magari mengi kutoka Japan pamoja na makontena kutoka Marekani, lakini experiences zangu zinatofautiana sana kuhusiana na uwezo, uaminifu na gharama za kutoa mzigo wako kutoka...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
habari wakubwa naishi Mwanza na ninafanya hizo mambo!na nina mpango wa kufungua my own photo studio ya kisasa hapa Mwanza na hiz ni moja ya kaz zangu chache(mwanamume aliyekaa ni pic yangu halisi)...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ina memory card 1 yenye program ya kuchezea flash pamoja na flash disk 4 GB yenye gem mbili ndani yake Bei ni 150,000
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Anything Express is a leading sourcing and export company based in the UK and Dubai with a massive clientele base in East Africa. We deal with the sourcing and export of all types of items and...
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Wanajamii nimenunua vitu vya dry cleaners nimenunua mashine ya kufulia 12kg mashine ya kukaushia 12kg masine ya kufungia nguo mashine ya kusafisha carpet generator 3 phase hanger ya kuwekea nguo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sichagui sana lakini haya ni kati ya yale nitakayoyaangalia zaidi Android angalau 4.0 (Ice cream Sandwich) Camera angalau 5mp Display screen kuanzia 3.5 - 4.5 inch Niko Dar, mwenye hilo deal ani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Jf, ninauza gari aina ya ISUZU TROOPER. Year of Manufacture. 1996 Color. Silver Engine capacity. 2700 odometer. 160000 Fuel. Diesel Good condition. ipo Arusha. Bei ni 10M, maelewano yapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari moja,(mita 70x70) lipo Buma kiromo bagamoyo.ni shamba zuri na tambarare.Kwa mwenye kuhitaji au maswali apige namba 0717 166455
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Highlights: Type: Touch screen phone OS: Android 4.0.4 CPU 1.2GHz Dual core ROM: 4GB RAM: 1GB Battery: 3400mAh Li-ion Capacitive touch (5-point) screen Network frequency: GSM...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
wana jf ngoja niwashauri kitu kuusu mambo ya madish km unahitaji chanel za hp nyumbani na za nnje na huitaji kulipia kwa mwezi hauna haja ya kuwa na dish kuuubwa hapana cha kufanya ni kuwa na...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Nasisitiza piga hizo namba hapo juu kwamahitaji ya kutengenezewa mageti, grill za milango na madirisha,vitanda vyachuma kwa matumizi ya nyumbani, hostel,guest house, pia viti vya chuma kwamatumizi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu mwenye tatizo lolote au mwenye kuhitaji ushauri unaohusiana na satelite dish such as DSTV,ZUKU,FREE TO AIR DISH,TV HOTEL tuwasiliane! Cont:0788 405060
0 Reactions
3 Replies
981 Views
1 TB external hard disk warrant miaka miwili kwa 180,000 tuuu.... ofaaa.. 0764435828
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom