Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nyumba ya kawaida inauzwa sh. Mill 35, ina eneo kubwa. Na Shamba lina uzwa mill 25, lina miembe,minazi, vyote hivyo vipo kibaa mwendapole. Kwa maelezo zaidi piga namba hizi :0717 008781 / 0656652807.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina story kali za filam, kwa anayohitaji story za filam za kifalme, za vijijini, za kimjini na tamthilia, zote ni hot, 0764434673
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ft100 kwa ft110 kinauzwa, kipo mbande hatua chache kutoka stand kama unaelekea mvuti. Nikizuri sana na bei yake ni mzuri sana. Ukiwa unahitaji ni PM. Nashukuru kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari zenu wakuu. Naomba msaada kwa members wa morogoro wing, nimehamishiwa moro kikazi, naomba msaada kwa anaemjua dalali wa nyumba anipatie namba zke. Or kwa anaeweza kunisaidia kupata chumba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakubwa natarajia kuja Tanga next week Tuesday 19-02-2013 na nitahitaji PA system katika shughuli yangu. Mwenye nayo au contact tafadhali anipe PM this is urgent please. Hii itakuwa kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Kwa kweli kwa mtu anaejali ubora wa ngozi yake, basi tafadhali ajaribu sabuni hizi, zimetengenezwa kwa njia ya asili ni Tiba na kinga ya uhakika kwa ngozi yako pia zinakat chumvichumvi iliyoko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamii msaada wenu sehemu ya kufanya tempo hata kama si kwa malipo cha msingi kujifunza katika fani ya computer science.
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Mimi natafuta mwalimu kutoka Arusha, kilimanjaro, au manyara tubadilishane yeye aje iramba singida,
0 Reactions
5 Replies
2K Views
White in Colour , China copy TSH 250,000 call 0765550340
0 Reactions
3 Replies
822 Views
Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wenye uwezo wakua na mpk na kilo 15 mkubwa pia bata bukini wanapatikana number yangu 0757-662401 karibu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauza external hardrive mpyaaaaaa na seal zake ni ya transcend one terrabyte kwa alietayari tuwasiliane kwa number hii 0717957070 na hata kwa installment hella yako itapokelewa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kwa maelezo zaidi tembele website yetu www.jordanexpress.co.tz sign in ili uweze kujipatia up dates za vifaa tofauti kama spare za magari pikipiki generators vifaa vya kutengeneza barabara...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Nina shida ya haraka sana na galax pocket mwenye nayo plz aniuzie,nina Tsh 150,000/= lakini inaweza kupungua kutokana na hali ya bidhaa.No yangu ni 0712494808.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KIWANJA KIKUBWA 70*70 (EKARI MOJA) AMBAKO NDANI KUNA NYUMBA MBILI - Moja ya kupaua na ya pili IMEFUNIKWA NA MADIRISHA TAYARI ni finishing ndogo ndogo tu. Tuone wazee wa kazi dodoma tukupeleke...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza professional camera..zipo nje ila kwa atakayehitaji I will deliver within 1-2 weeks...sihitaji advance kwa atakayehitaji ila awe ni mteja. Ni imara na genuine si za mchina. 1. Canon...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habarin za kazi watanzania wenzangu mim ni mtanzania mwenzenu ninae tafuta maendeleo nina shughulika na shughuli za bima kwa lugha nyingine ni insuarence agent bima zitolewazo no .bima za magari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
vina ukubwa kuanzia mita 20*20 bei milion 2 na kuendelea... miundombinu ya barabara ipo.. wahi sasa kabla huja chelewa. (kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
0 Reactions
13 Replies
2K Views
samsung ipo katika hali nzuri na imeambatanishwa na visaidizi vyake kwa bei ya tsh 180,000 tu. wahi sasa! wasiliana nami kwa 0716300091/0753686485
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza kiwanja maeneo ya Kinondoni B, Natafuta dalali au mnunuzi Kama mtu Yeyote ana taarifa naomba tuwasiliane Au Kama unajua njia za kupata mteja kununua Kiwanja Dar naomba tuwasiliane...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu mimi nafanya biashara ya kuuza ndizi mzuzu hua nazitoa morogoro na kuziuza kwa jumla hapa dar,kama kuna dalal mzoef ama mwenye kuhitaj kwa kias kikubwa anitafute kwa 0716030083, mkungu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom