Kwa bei nafuu tuu, na zaidi ya yote kuna option ya kukuwekea apps nyingi muhimu kama za kusoma na kuandika documents (QuickOffice, Pages- Yaani mambo yote ya documents, powerpoints n etc)....games...
Habari wana ndugu!!
Leo nawaletea BB bold 9780 white na charger na cable na cover kwa laki 2.8
!! Pia ipo BB torch 2 kwa laki 3.8 na vifaa charger na cable
Both in good condition
0787 408180...
SUPPOTING EDUCATION TO RURAL AFRICAN CHILD-(setrac foundation) tufuate kwenye facebook ni asas mpya inayotafuta vollunteers then tutawapa award au ajira
natengeneza Posters za matangazo ya biashara,promotipn n.k,nadizaini DVD cover za aina zote,graphic designing,photo editing za za hari ya juu na kutengeneza logo za aina zote.
huduma zote hizo...
Hello..Nawasalimu sana na hongereni kwa shughuli za kulijenga taifa.
Naomba mwenye taarifa yoyote kuhusu fremu kariakoo aniPM please nahitaji kwa ajili ya biashara ya nguo. NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Nna Dell Inspiron, maroon in color, used a bit with windows 8 operating system,webcam,ram 2 gb, hdd 250gb, procesor 2.13ghz, wide screen ya 15'', starting price at 500,000Tsh..nipo Dar,,,PM if...
Kwenu wadau nna computer desktop kama zle za benk ambazo CPU yake inakaa nyuma ya screen au vinaambatana hard disc ni 120GB, ram 2GB, iko safi haina tatzo lolote bei ni 250,000 haipunguzwi nicheki...
Nyumba ipo mbezi mwisho kibanda cha mkaa ina sifa zifuatazo
0.5 toka barabara kuu lami .
vyumba 3 vya kulala 1 master
sebule , jiko , luku ya kujitegemea , haina ukuta ila gari inafika mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.