Natafuta fundi wa jiko la umeme,plate moja sasa haifanyi kazi(haileti moto mkali)kama hapo mwanzo ni leo tu ndio hili tatizo limejitokeza,aina ya jiko ni Oscar 2 plates hutumia umeme na 2 platess...
Kuna viti vya saloon ya kiume vinauzwa laki 9.5 vikubwa na vidogo ni 7.5
Pia kuna makabati ya watoto yanauzwa lenye droo 4 ni laki 1 60, droo 5 ni laki 1 tisiini.
ALL NEW
Nauza Laptop DELL na ipo katika hali nzuri sana na inafanya kazi bila ya matatizo.Bei ni Tsh 480,000 na ilitumika uingereza na sasa ipo Dar.Kwa mahitaji tafadhali wasiliana kwa namba hii...
SIFA
Hard disk 240GB,
Ram 4GB
Processor 3GHZ.
monitor ni LCD (flat screen),
Brand-Dell latitude B66L15..
Computer (Pc) ni mpya kabisa.
Serious buyer contact me 0656063933.
Wadau nahitaji sana ijulikanayo kama Matsushita Easy Photo printer je hapa jiji Dar naweza kuipata wapi na nibei gani?
Nimejaribu kuzunguka sana hapa da sijafanikiwa kwa mdau amabaye anajua...
Salaam wakuu.
Hivi hapa DAR kuna sehemu naweza kupata mashati ya size 16-18,lakini ya good quality?hata kama ni local made??
Sihitaji branded lakini naweza ku afford kama 30-40,000TZS/shirt...
toshiba tablet GB 14 IKO katika hali nzuri napenda niwe muwazi niliitoa pin yake ya kuwashia ivyo lazima utumie kitu kuwashi kama kalam au ufunguo...inakaa na chaji masaa nane ukiwa unaangalia...
:israel:SASA UNAWEZA KU UNLOCK SIMU YAKO AINA YA HUAWEI, LG, PANTECH NA ZTE HAPO HAPO ULIPO :israel:BILA KUJA OFISINI KWANGU.:israel:
BEI FOR REMOTE UNLOCKING NI TSH 20000/=
UKIJA OFISINI BEI NI...
Nauza Laptop ACER na ipo katika hali nzuri sana na inafanya kazi bila ya matatizo na inakuja na Battery mpya.Bei ni Tsh 430,000 na ilitumika uingereza na sasa ipo Dar.Kwa mahitaji tafadhali...
Wapendwa wana JF, kama kuna anayetafuta eneo la kununua au anayemfahamu anayetafuta ardhi ya kununua nina karibia heka mbili Gezaulole na ninaziuza. Mambo hayaniendei vizuri na nataka hii hazina...
Habari!
Nauza CD mbili za PSP ( GTA liberity city na gangs of london) kwa 20 zote
Pia nina adapter ya psp if interested( for 25 only)
0712 507060 karibuu
Make: Mitsubishi
Model: Pajero GDI
Four Wheel: Yes
Colour: Pearly White
Year: 2000
Engine Capacity: 2000
Fuel: Petrol
Milage: 81054 km
Price: 13 Million Tshs(Open to negotiations)
Location: Dar...
Wadau boda boda (pikipiki zilizotumika aina ya t-better na sanlg zinauzwa. Zipo katika hali nzuri na zipo dar es salaam. DOCUMENT ORIGINAL ZOTE ZIPO,,Kwa wanunuzi ni pm
Ardhi inauzwa Bagamoyo, wastani wa dakika 10 kwa gari kutoka Bagamoyo mjini,upande ambao si wa bahari.
ukubwa ni nusu acre na zaidi kidogo.Sehemu ni ya mchanga na inafaaa kwa kujenga tu.Bei 2.9M TZS.
Helo JF members,
Am selling my rav 4 3 door 2002 model, it has 1 year and 3 month since imported and the price is 10 million. And it has exemption. If interested call 0716-369299 or what's up...
Samsung S3- Tsh 850,000
HTC One X- Tsh 850,000
Nokia Lumia 900- Tsh 800,000
Nokia Lumia 920-Tshs 950,000
LG P870- 670,000
For specifications of any particular phone mentioned above, please visit...
heshima kwenu wakuu nahitaji tv lcd inch 24 na generator aina yoyote kama itakuwa ya kisasa itakuwa bora zaidi mi nipo tabora mawasiliano ni 0785854807 au benardkombe043@gmail.com.
natanguliza...
Hello JF,
Looking for serious buyer,no dalali.I am selling my car,very considerable price,silver in colour,BRJ plate number.
Feel free to call,0712 203565.(u will never beat my price anywhere else.)
Naomba ushauri wana JF,nimejikusanya na sasa nataka kununua ka gari angalau ka kunifanya niwe mobile kuliko nilivyo sasa,na ka gari ninakopanga kununua ni Toyota caldina,naomba ushauri wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.