Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
We supply fresh/frozen pork meat of your choice from different portions such as Bellies, Chumps, Collar or Neck Ends, Feet/Trotters, Heads, Hock, Leg, Loin, Ribs, Shoulders etc. We take orders of...
0 Reactions
7 Replies
930 Views
A stand alone property located on Mbezi Beach, has got parking area, three bedrooms, one-en suite, dinning, kitchen, and living room, two wash rooms, ceiling-gypsum, floor type-terrazzo...
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Professional Video Camera inauzwa. Imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana. Aina ni SONY DSR-PD170 Bei haipungui shs 1,200,000. Sikuweza kuweka picha hapa ila kwa kufuata hiyo link unaweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza Ideos U8150 ipo katika hali nzuri (with screen protector) 130,000/= Nicheki kwa 0655 44 44 40
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Ndugu msomaji, natafuta mwalimu(trainer) wa mbwa popote Dar. Kama unamfahamu tafadhali ni PM ilituweze kufanya kazi. Asante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza Laptop DELL na ipo katika hali nzuri sana na inafanya kazi bila ya matatizo.Bei ni Tsh 480,000 na ilitumika uingereza na sasa ipo Dar.Kwa mahitaji tafadhali wasiliana kwa namba hii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa eneo la burka block a,ukumbwa ni medium density. Skwea mita 866 sawa na hatua 41 urefu kwa upana 20. Ni eneo zuri mnoo lenye mpangilio wa makazi. bei 28m ila maelewano yapo . kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf Nahitaji photocopy canon pamoja na printer coloured kwa ajili ya stationery
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Toleo la 1998 au 1999. Iwe Automatic. Milango Mitano. Bajeti 12mil. Unayo piga simu 0717114409.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari JF, Kuna nyumba kubwa na ndogo zinapangishwa karibu na mlimani city. nyumba kubwa ina vyumba vitatu, sehemu ya kulia chakula,sehemu ya jiko, public toilet. katika vyumba hivyo vitatu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari JF, Kuna nyumba kubwa na ndogo zinapangishwa karibu na mlimani city. nyumba kubwa ina vyumba vitatu, sehemu ya kulia chakula, jiko, public toilet. katika vyumba hivyo vitatu kimoja wapo ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Anaejua Bei Ya Play Station(ps) Na Kwa Upande Wa Mwanza Zinipatikana Wapi
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Chumba kina choo pamoja na sitting room , kipo ndani ya gate gari inaingia luku mnatumia familia 2 . kipo maeneo ya Fao hapa kinondoni , kodi laki 140,000 unaweza lipa hata miezi 6. mimi ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa eka moja na nusu bei ya chee.yeyote mwenye kuhitaji anicall no 0713214398
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba ya Ghorofa moja inauzwa Kinondoni Mil.620 unaweza kuingia na kuishi iko katika hali nzuri,maelewano yapo,kwa anayehitaji anipigie 0713166237.
0 Reactions
4 Replies
900 Views
jamani kwa wale ambao wanatafuta fundi wa computer nipo unaweza kunipigia 0655684396,nafanya installation ya windows ssp2,ubuntu,ssp3,7,antivirus,maintanance
0 Reactions
0 Replies
964 Views
wadau kwa anayefahamu utaratibu wa kupata viti ,meza na friji kutoka kwenye makampuni ya soda(pepsi & cocacola) na bia kwaajili ya Bar ,naomba anifahamishe.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cif dar tzs mil 32
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naulizia bei ya water tanki lenye kuchukua ujazo wa lita 5000. kama inawezekana mwenye ufahamu na haya mambo anipe bei na kiwanda lilipotengenezewa. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inatafutwa, iwe na vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master na choo cha public kizuri, sebule, jiko safi, stoo na vyumba vingine muhimu, maeneo kuanzia kurasini, chang'ombe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom