Ndugu zangu wana JF naombeni msaada,
Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa skimming, kupaka rangi, tiles na gypsum ceiling, naomba anipe contact zake either hapa jukwaani au ani PM.
Site ipo...
NAUZA GOOGLE NEXUS 7 TABLET,IMETOKA USA AND VERY LITTLE USED.
PRICE 550000/= CALL O714486466
Display
[*=left]Type7 in,
IPS TFT active matrix - LED backlight
[*=left]Display Resolution1280 x...
Ikiwa bado ni siku kadhaa kabla ya mfumo wa Analogue Broadcasting kuzuiwa rasmi, Watanzania esp. wakazi wa jiji kuu wapo katika pilikapilika za ununuzi wa ving'amuzi ili waendelee kupata huduma ya...
Anayefahamu tovuti ambayo naweza kupata user manual ya gari ya Nissan Wingroad 2003 iliyo katika lugha ya kiingereza
naomba anifahamishe. Hawa jamaa sijui kwa nini wanaandika user manual zilizo...
Kipo KIPALANG'ANDA-MKURANGA KARIBU NA BARA BARA KUU IENDAYO KUSINI.....
NGUZO ZA UMEME ZIPO TAYARI MUDA WOWOTE UMEME UNAFIKA,,MAENEO YANA WAKAZI WENGI NA MJI UMECHANGAMKA NI MAENEO YA STENDI YA...
Hey! habari jamani, nahitaji kununua cherehani hebu mwenye uzoefu na hizi vitu anisaidie kunipa detail yoyote kuhusu aina nzuri na bei hasa nzuri za cherehani.
Hi! Wana JF.,NAMTANGAZIA!
Kodi 1,000,000.
Area Kijitonyama shuleni.
Plot medium density.
Parking for 3 cars.
Fenced.
2 Bedrooms-all self contained with wall wardrobes
1 normal talking room.
1...
maraia ninauza Tanzanite ni carent 0.56 kitu iko maali yake nataka aproximate 250,000/=only nyie tu usije sema sina zawadi ya valentine oh shemej!!!!!chap napatikana mkoani chugaa:violin:
Hallo,
Natafuta Mkopo wa gharama Nafuu kwa ajili ya Kufanyia finnishing apartments zangu 4 in 1.
Kiasi cha Mkopo nnaohitaji ni kiasi cha Tsh 50Ml. Marejesho ni Miaka 5 lakini upo...
Nauza Computer Main Board defect Post Card mpya. Ni kifaa cha kielektroniki kinachowafaa zaidi mafundi wa Computer. Ukikichomeka kwenye Computer kinasoma na kukujulisha tatizo la Computer, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.