kiwanja kimepimwa kinauzwa,
kipo Mbweni Mpiji
Ukubwa ni Square metre 685
Bei ni: 47 Million
contacts: 0715353108 au 0756144060 Email: mwamalekela@gmail.com
Tumefungua Music Studio ya Kisasa.
Kama una kipaji cha kutunga na kuimba nyimbo na unadhamira ya kufanya kazi nzuri sana basi unakaribishwa.
Interest yetu ni kutengeneza Muziki utakaopendwa na...
Waungwana nauza gari hiyo details zake ni kama ifuatavyo:
Mwaka:2000
cc990
Auto
Petrol
imetembea km 81,400
imesajiliwa wiki moja iliyopita
Bei ni 6,800,000 maongezi yapo.
Mawasiliano: 0772 252 000
Wanabodi,
Gari tajwa hapo juu linahitajika asap,
milage: <80'000 km
budget: 8-9m
color: preferably NOT white
be in good condition
Tuma PM kwa mawasiliano zaidi.
...wandugu;
Kwa mtu anaemfahamu mtajwa hapo juu na anafahamu jinsi nitakavyowasiliana nae naomba tuwasiliane nae chemba (kwa PM).
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
wanajamii, sokoni ni gari aina ya suzuki escudo Automatic gear ya milango mitano, gari ipo zanzibar na ililipiwa ushuru FULL na haiina tatizo la aina yeyote lile, naweza kusema it was and it is...
startimes decoder with 23inch lcd flat screen
buy plug and play
enjoy startimes channels on 23inch flat screen
connection cables,remore controller and internal
antenna are all included
price...
can supply different kinds of pellet mill machine with CE certificate1.Adwangtages:It can make the fullest use of natural resources ,have good rigidity ,perfect smoothness ,long shelf life and...
Kampuni ya TRUE ROAD TECHNOLOGIES LIMITED- Inayojihusisha na Career and Personal development inaandaa mtandao wa wanafunzi vyuoni ambao wanahitajika kushirikiana na kampuni katika kuwajengea uwezo...
Wana Jamii kama kuna mtu anaweza nisaidia kupata maelezo niweze kupata Dawa ya CHINES BRUSH kwa Dar es salaam anisaidie,Najua wana jamii wengi wanaijua hii dawa, ni dawa ya kupunguza premature...
Hiyo katika picha ni CISCO Wireless-G Home Router, Model No. WRH54G. ni mpya na sijawahi kuitumia. Niliinunua wakati nasoma nje ya nchi. Nimejikuta sina mahitaji nayo kwa sasa, hivyo naiuza kwa...
sasa waweza kufuatilia proceedings za Bunge live kwenye internet kupitia Radio Mambo FM ya Arusha. Ingia kwenye www.radiostationstz.com na chagua radio hiyo. Mbatia anapambana na naibu spika
wakuu kwa yeyote anayeuza straw cutting machine kwa ajili ya kukata majani makavu kama ya maganda ya ndizi,au mpunga yenye uwezo wa kukata nusu tani kwa siku,bei iwe affordable,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.