Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu hivi inawezekana ukalipia mzigo na ukapakiwa kwenye meli tiyali kwa kuanza safari ya Kuja Bongo and then huku nyuma ukawa unatafuta watu wa Ku clea huo mzigo Bandarini? Au ni lazima upate...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JIKO LA GESI KWA BIASHARA YA BAKERY AU HOTELI (Restaurant) n.k Jiko linauzwa milioni 3 limetumika na lipo katika hali nzuri.Jiko hili linatumia Gesi lakini vilevile linahitaji umeme kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule kubwa...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Nice and very little used PROJECTORS from USA available.They can be suitable for various functions, watching movie in big screen, watching football match in big screen, presentations etc. Only TSH...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule kubwa, dining...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Natafuta gari nina millioni tano wakuu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Rechargable lithium battery, quad band GSM support, tri band UMTS support, wi-fi wireless LAN IEEE 802.11 b/g/n, transmitting and receiving frequency 2.412 to 2.472 ghz, bluetooth single band...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari hizi zipo Botswana,kama upo serious tunakuletea hapo Tanzania ndani ya siku mbili,condition ni nzuri hazijawahi kupata ajali,zinatumiwa na matajiri wanao heshimu magari
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza gari hili, bei nzuri kabisa. 5.7 mil negotiable. Lina 1490 CC, 1998, Registration ASE, Ina sports rim, mileage chini ya 125,000. Engine safi haijawahi kuguswa. Ilipigwa rangi za bamber ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu, jzna niliandika kuhusu kuhitaji gari ya bei nafuu. kuna wanajamii mbali mbali wamenitafuta kuhusiana na ombi langu. Naomba msaada wenu, kuhusu hii gari aina ya Nissan Primera...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nokia Lumia 510 inauzwa,imetumiaka kwa wiki tatu tu, piga simu 0716604977 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
856 Views
NAtafuta Hiace ya kununua good condition (used) - Bei Not more than Tzs.8m
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Tunakodisha machine ya hydraform ya kutengeneza matofali kwa kutumia udongo. Pia tunaye mtaalam wa kuyatengeneza kama utamhitaji.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba wadau mnisaidie acre 1 inaweza kupandwa miche (pinus seedlings) mingapi? Baada ya miaka mingapi naweza kuvuna kwa ajili ya mbao? Natanguliza shukurani za dhati kwa watakao nisaidia.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") Nyumba ina vyumba vitatu kimoja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ninauza kuku wa kienyeji wana umri wa miezi saba, Wapo Kimara mwisho ni wengi km 200, Kama unahitaji ni PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bandugu, Je unataka kuendesha gari amabyo imetengenezwa wakati haujazaliwa au kama umezaliwa ilikuwa ikiendeshwa na mkoloni? Ni gari imetulia kama mpingo na ni ya kipekee zaidi ya fancy cars! za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Black Berry 9300 or u can call it curve 2 na pia ipo kwa good condition it is like a brand new nicheki kwa phone namba 0717-022737...WE CAN NEGOTIATE,!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri sana,,bei 550000 Nicheck kwa 0717592335
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. 8 acres farm at kigamboni ,tundwi 40 km from ferry . 24m call 0786149592. 2 20acres farm at kigamboni kimbiji (puna )40km from ferry near the beach , 60mill call 0786 149 592. 3 .plot...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom