Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wapendwa wana JF, Nauza kiwanja kipo maeneo ya pugu kinyamwezi kinapakana na shule ya sekondari ya Kinyamwezi ni km 14 toka air port, mita 400 toka barabara kuu iendayo chanika. eneo lina ukubwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana nahitaji msaada toka kwenu kama kuna mtu mwenye namba ya simu au anayeweza kuniunganisha kwa macheif cooker wa hoteli zifuatazo; Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro Dar es...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jamiiforum. kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu mimi na familia yetu ni wafugaji and kwa sasa kuku wameanza kutaga kwa kasi ila soko limeyumba, so kama kuna mtu anaitaji mayai...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza friji Westpoint,imetumika mwaka mmoja tu. Model WWR-129.SX0 CAPACITY 128 L CLASS ST WATTS 145w Input 0.95 Kwh(24hrs). 0764 468 469.DAR......
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani nataka nifungue digital recording studio. Sasa hebu niambieni nahitaji vifaa gani ili niweze kuwa na studio ya kuweza kurekodi kama ya Master J lakini iwe na uwezo wa kurekodi bendi ya...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Habari za leo wadau. Nnauza Computer za P 4. Mbili zina monitor za flat sceen inch 17, na mbili zina monitor za CRT inch 17. HARD DISK ni 40 GB kwa Computer 3 na Moja ina 8OGB. 3 kati ya hizo zina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Karibu kwenye web yetu ya biashara ,kuwezesha wajasiliamali,small enterprisess,msaada wa kibiashara kwa mawazo, wasiliana nasi kwa e-mail businessmanagementcomputert@gmail.com au tembelea HOME...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Natafuta DVD za GAME hususani zile za action game, nipo dsm. Nitajie unazo zipi na BEI ipi nikuone x1. (iwe New au USED shega2)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Laptop DELL na ipo katika hali nzuri sana na inafanya kazi bila ya matatizo.Bei ni Tsh 520,000 na ilitumika uingereza na sasa ipo Dar.Kwa mahitaji tafadhali wasiliana kwa namba hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Used Rav 4 for Sale, 2005 model, Inatumia button kuwasha, no keys, 45,000km, automatic and manual, metallic black colour, 2390ccc, VVTI engine. Ipo kwenye excellent condition. It is only available...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Gari la kununua linahitajika (5 doors): Toyota Landcruiser 4WD (Prado, VX, GX, etc) or Nissan Patrol Weka Picha hapa na specification; kwa maelezo zaidi - call 0714 460528, 0757 941044...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, I am interested to get someone who will be ready to do a tradeoff between house and plot for an exchange with additional of money. I have a plot with clean tittle deed (99 yrs) at BUNJU...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Tangazo.com is a website which will allow any Business to connect with other Businesses and People in large numbers. It is a place were BUYER meets SELLER. At Tangazo.com you can get...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENYE HIYO Motherboard ya laptop D820 naomba sana anijulishe tufanye business
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Naitaji chumba chakupanga temeke tcc tmk wailes rukwati mombo miteja maduka mawili madenge mtakuja nyumba iwe nageti mana napikipiki chumba nasebule simu 0712690760
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Natafuta Nyumba yakununuwa. Iwe na vyumba 3. Iwe Mjini au Upanga.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii, kama post inavyojieleza , nnahitaji gari ya kutembelea, chaser 4S, mark 2, corolla au carina. Zikiwa 4 cylinder itakuwa vizuri zaidi, mwaka kuanzia 1992 na kuendelea. Mwenye gari...
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Wadau kuna meseji zinatumwa kwenye simu zina kichwa DIGITALI Kuelezea kuwa kuna decoder mpya zenye uwezo mkubwa zaidi wa HD,mpeg4,usb n.k Kwa anayezifahamu tafadhali anieleze coz zinasababisha...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwenu wadau, Nauza gari langu aina ya Toyota Mark II kwa bei ya 7m/= tu. Mileage: km 98,000 Transmission: Automatic Year: 1998 Engine Capacity...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
iPhone 4S - 16GB For Sale (Almost like brand new) I am selling my iPhone 4S which I only used for three months before getting iPhone 5. It is white, well looked after and no scratch marks...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom