Wadau wenye uzoefu na magari.naomba ushauri wa aina gani ya gari(automatic) nayoweza kununua baada ya kuuza niliyonayo.isizidi 1500cc. Nategemea kuwa na tsh 7milions baada ya kuuza na kuongezea...
a) Eneo la kibada (Kigamboni)
b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950
c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada
d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri...
Habari ndudu zangu? Nataka kununua simu aina ya Nokia E72 iliyotumika (used). Hivyo, basi ikiwa kama kuna mtu yupo tayari aniuzie, au kama kuna mtu anafahamu zinapouzwa anijulishe. Tuwasiliane...
KIPO KIPALANG'ANDA KWA RUBAHA(MKURANGA) BEI NI MILLONI MOJA (1) UNAWEZA UKALIPA NUSU NA NUSU UKAMALIZIA ILA KWa maelewano MAALUM.
UKUBWA NI ROBO EKARI NI 25 KWA 25.
KIPO KARIBU NA BARABARA...
Naona matangazo ya mafundi wanauliza IMEI number from people bila kuwaambia risk iliyopo kuweka information hiyo public. Sasa sijui tatizo ni kwamba hawajui au they care less. Shule hii hapa...
2006 daf xf95 480 horse power, super space cab, 6x2 midlift, tipping gear, manual gearbox
Brand new from UK just came, the truck is still in the port of dar es salam, everything is paid...
Just Like New!!!
iPhone 4S smartphone only used for three months.
Reasons for selling: got iPhone 5.
It is white, well looked after and no scratch marks whatsoever. Just like new. It comes in...
Helo, jF members
I have some few brand new samsung S3, and am selling them just for 500 usd. If you want to buy check me on 0716-369299 or 0778-480905
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Linafaa kwa matumizi ya kilimo, ufugaji na makazi. Liko pembezoni mwa barabara ya Tunduma-Sumbawanga, 60km kutoka Tunduma Town.
Kwa mawasiliano zaidi;-
0757598344 au
noelyfredy@gmail.com
Habari zenu jamani..... Nina idea ya kuanzisha magazine ambayo itakuwa ikigawiwa bure kwa watu (free copy) hivyo nategemea kuingiza fedha kupitia matangazo yatakayo kuwa yanawekwa kwenye gazeti na...
Japan Topcon Total Station GTS-102N
GTS-100N Series Total Station Topcon's latest 2006 popularity of Chinese digital key Total Station
Features:
* domestic manufacturing, Topcon...
Shamba hilo lipo vikuruti ktk mamlaka ya mji wa Mlandizi lina ukubwa wa heka 8 @ Tshs 2ml, linauzwa lote kwa pamoja, gari inafika lipo karibu na makazi ya watu, lina minazi na mikorosho, 0717000990
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.