Ninatafuta kiwanja cha size (30m*40) minimum size au shamba Arusha. Nilikuwa nataka sehemu ambayo ninaweza kujenga nyumba na sehemu ikabaki kwaajili ya kuweka migomba na n.k. Naitaji sehemu isiwe...
wadhee mamboz?
mimi ni reseller wa vocha za www.tunnelguru.com kama kuna mtu anahitaji ani pm. ni buku 10 unlimited monthly. muda wa mauzo ni anytime lakini mara nyingi ni kuanzia saa 12 jioni...
salam wakuu,
simu aina ya sony ericson u1i inauzwa, nimeitumia kwa wiki 3 ila kutokana na hali ya uchumi kuwa mbaya nimeona niiuze!
Anayehitaji ani pm ofa yake, nipo dsm
Wakuu habarini!
Moja ya makampuni yanayofanya shuguli kupitia trade car view ni VALUE PLANNER CO.,LTD je kuna yeyote ambaye amewahi kuitumia hii kampuni?
Uhakika wake na wa mzigo ukoje?
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza )
Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano
2 ni kwa ajiri ya ofisi
1 flem
1 store na choo
vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa...
www.tangazo.com | Connecting Businesses ni tovuti pekee nchini Tanzania inaounganisha Mabiashara Zote hapa Nchini.
Kwa habari zaidi tembelea website yetu www.tangazo.com | Connecting Businesses...
Jaman nna shida na rum. Iwe kubwa, nymb yny maj na umeme. Mitaa ya Kinondon, Sinza au Ubungo. Naomba anayemjua dalal au km binafsi unajua rum ilipo plz naomba uni pm ili tuwasiliane kwa simu. Asante
Mikocheni A, A 3 bedrooms (1master bedroom) unfurnished house with common bathroom, lounge,dining room,kitchen, ample parking space. Direct contact to the proprietor.
Staff quarter has 2 AC...
WanaJF, Samahani ndg zangu, nataka kununua USED Suzuki escudo/vitara ya mwaka 1996/99, black/darkblue, tafadhari kwa wanaozijua vema katika matumizi waniambie uzuri wake, ubaya wake na changamoto...
Samsung sgh-i917R na network ya WI-FI Speed ya internet yauhakika ukininua unapewa na head phone chaja ins mwezi nasimu 3 tokea inunuliwe bei 280,000 cm 0712690760 kalibuni IPO dar
</body>
Used but in good condition, Fujifilm Finepix S5700, 10x zoom, 7.1 megapixels, a 2.5-in monitor, with intelligent flash system. It comes with 2GB memory card. Price is Tsh 250,000 (not...
Used but in mint condition, no scratches. comes with a charger and usb cable and rubber shell. price is Tshs. 300,000. (not negotiable). If interested call, text or whatsapp 0715841111
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.